11 Januari 2016

Mgawanyiko wanukia kanisa la Kianglikana

 
Mgawanyiko katika kanisa la Kianglikana kuhusu suala la mapenzi ya jinsia moja halitakuwa janga bali itakuwa ni kufeli. Hii ni kwa mujibu wa askofu mkuu wa Canterbury, Justin Welby.

Al-Shabab wako 'huru' kushiriki soka Somalia

 
Mkuu wa shirikisho la soka nchini Somalia amesema kuwa kundi la wapiganaji wa al-Shabab liko huru kushiriki katika ligi kuu ya soka nchini humo.

CUF: Uchaguzi unaweza kuzua vurugu Zanzibar

Seif 
Chama cha Wananchi (CUF) kimeonya kuwa kurudiwa kwa uchaguzi visiwani Zanzibar kunaweza kusababisha vurugu na kumtaka Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli kuingilia kazi kutatua mzozo ulitokana na uchaguzi visiwani humo.

Viongozi waliotokwa na machozi hadharani

Obama
 Image caption Rais Obama ametokwa na machozi hadharani mara kadha
Rais wa Marekani aligonga vichwa vya habari alipotokwa na machozi alipokuwa akiwahimiza Wamarekani wakubali mabadiliko kwenye masharti ya uuzaji wa silaha Marekani Jumanne.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728