Maafisa wa kijeshi nchini Korea
Kusini wanasema Korea Kaskazini imejaribu kurusha kombora kutoka kwa
manowari ya kivita na kukiuka vikwazo vya kimataifaWanasema kuwa kombora hilo hatahivyo lilifeli muda mfupi baada ya kurushwa
Urushaji huo wa kombora unajiri baada ya Korea Kusini na Marekani kukubaliana kuweka

