18 Februari 2016

MATOKEO KIDATO CHA NNE MWAKA 2015/2016

Bofya hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2015/2016

Papa Francis: Donald Trump 'si mkristo'


Papa Francis asema Donald Trump si mkristo
Mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa wazo la mgombea wa kiti wa chama cha Republican nchini Marekani , Donald Trump la kujenga ukuta kati ya Mexico na Marekani si

Refarii apigwa risasi na mchezaji Argentina

Refarii mmoja nchini Argentina amepigwa risasi na kuuawa na mchezaji aliyemuonesha kadi nyekundu uwanjani katika mechi ya daraja la pili.

Mafuta yapanda bei asilimia 6,000% Venezuela


Maduro ametangaza bei mpya ya mafuta ambayo itakuwa senti sitini kwa dola ($0.60).
Venezuela imeongeza bei ya Petroli kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 20.
Rais Nicolas Maduro ametangaza bei mpya ya mafuta ambayo itakuwa senti sitini kwa dola ($0.60).

Kizza Besigye akamatwa na polisi Uganda


Msemaji wa chama cha Forum for Democratic Change Ssemujju Ibrahim Nganda amethibitisha kwamba mgombea urais wa chama hicho Dkt Kizza Besigye amekamatwa.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728