21 Machi 2026

Mauaji ya kikatili Katavi

kutoka katavi mwanalimu anayejulikna kwa jina Aidan Ramadhani amekutwa amechinjwa na mwili wake ukitelekezwa usiku wa kuamkia tarehe 20 mwezi wa 3 mwaka 2026 mauaji hayo yakikatili yaliyotokea bado haijafahamika chanzo ni nini huku majirani na mashuhuda wakilaani vikali kuhusiana na tukio hilo la kinyama.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728