02 Machi 2016

Forbes:Dangote azidi kutajirika Afrika

 
Mtu tajiri barani Afrika kutoka Nigeria Aliko Dangote amepanda katika watu matajiri katika orodha ya Forbes ya watu mabilionea ,huku mali yake ikiongezeka na kufikia dola bilioni 15.4.

Bwana Dangote ameorodheshwa wa 51 duniani ukilinganisha na nafasi ya 67 mwaka 2015 wakati gazeti hilo la Forbes lilipoiweka mali yake kufikia dola bilioni 14.7.
Ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Cement ,ikiwa ndio kampuni kubwa katika uzalishaji wa simiti barani Afrika.
Mtu wa pili kwa utajiri barani Afrika ni raia mwengine wa Nigeria ,Mike Adenua ambaye ana thamani ya dola biloni 10,huku raia wa Afrika Kusini Nicky Oppeheimer akiwa katika nafasi ya tatu na mali yenye thamani ya dola bilioni 6.6.
Gazeti hilo linamuweka Adenua ambaye alitajirika kutokana na mafuta na kampuni za mawasiliano katika nafasi ya 103 katika orodha ya mabilionea duniani huku Openheimer akiwa nafasi ya 103.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728