26 Mei 2015

Urusi yaanzisha mazoezi ya Kijeshi

Rais wa Urusi Vladimir Putin
Urusi imeanza mazoezi makali ya kivita yanayojumuisha kikosi cha anga cha wanajeshi 150 pamoja nakikosi cha mashambulio ya mbali ya makombora.

Wizara ya mambo ya ndani ya Urusi inasema kuwa wanajeshi 12,000 wanatarajiwa kuhusishwa na mazoezi hayo makali ya siku nne yanayolenga kutaka kujua uimara wa jeshi hilo na utayari wake.
Mazoezi hayo makali yanakuja sawa nay ale yanayoendeshwa na vikosi vya NATO na majeshi ya Ulaya Nordic yanayojumuisha zaidi ya wapiganaji 100 wa jeshi la anga.
Hata hivyo tukio hili la mazoezi ya majeshi ya Urusi yanaleta kwa nchi za magharibi kufuatia machafuko yanayoendelea Ukraine ambapo Urusi imekuwa ikinyooshewa kidole kutokana na machafuko hayo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728