25 Mei 2015

Norwich City,yarejea ligi kuu England

Klabu ya soka ya England Norwich City imefanikiwa kurejea katika ligi kuu ya nchi hiyo baada ya kuibanjua Middlesbrough kwa jumla ya bao 2-0.

Bao la Cameron Jerome na Nathan Redmond,yalitosha kabisa kuipa ubingwa Norwhich na kunyakua kiasi cha paundi million 120 kwa ushindi huo na kutinga ligi kuu almaarufu EPL.
Katika mtanange huo uliopigwa katika dimba la Wembley, takribani mashabiki elfu thamanini na tano walikuwepo uwanjani wakishuhudia vijana hao wa mji wa Norwich wakirejea tena ligi kuu na kuungana na wenzao Bournemouth na Watford ambazo tayari walishakata tiketi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728