16 Mei 2015

Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea

Golikipa wa Chelsea Petr Cech
Golikipa Petr Cech anaweza kumaliza miaka yake 11 ndani ya klabu ya Chelsea baada ya kuruhusiwa kufanya mazungumzo na timu inayomtaka.

Wakala ya kipa huyo Viktor Kolar,amethibitisha kuruhusiwa kufanya mazunguzo na timu yoyote inayomuhitaji .
“Nina thibitisha tumeruhusiwa kufanya mazungumzo na klabu inayomuhitaji Cech japo anamkataba unaomalizika mwishoni mwa mwaka”alieeza wakala wa kipa huyo.
Wiki iliyopita Kocha wa Chelsea Jose Mourinho alisema anamuhitaji kipa huyo kuendelea kuitumika klabu hiyo.
Cech mwenye miaka 32 alijiunga na Chelsea mwaka 2004 na amecheza michezo 16 katika michuano yote msimu huu, akiwa chaguo la pili mbele ya kipa namba moja Thibaut Courtois.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728