29 Mei 2015

Tumbo moto Fainali FA:Prince William

Prince William akionyesha mapenzi yake katika Soka
Mwana wa kifalme wa Uingereza Prince William amesema kuwa, ameanza kupata hemwa hemwa juu ya mchezo wa fainali ya FA itayopigwa hapo kesho kati ya Arsenal dhidi ya Aston Villa.

Prince Willium ambaye ni shabiki wa mkubwa wa Aston Villa, anasema atakuwepo katika dimba la Wembley kutazama mpambano huo huo pamoja na kukabidhi kombe kwa timu itakayoibuka kidedea. " nina wasiwasi na hofu" alisema Prince.
Mwana huyo wa kifalme ambaye ndiye rais wa chama cha soka cha Englan FA, pia ameiambia BBC juu ya matumaini yake ya kuona wanawe wakifuata nyayo zake za kuwa mashabiki wa Aston Villa. Ushabiki wa Prince William kwa timu hiyo, umeanza tokea akiwa shuleni kwakuwa aliamini kuishabikia Aston Villa kungemfanya awe na hisia nzuri, japo ametanabaisha kuwa marafiki zake walikuwa ni Mashabiki wa Manchester Utd na Chelsea

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728