11 Mei 2015

Osama:Mwandishi akanusha madai ya Marekani

Obama akitizama operesheni iliyomuua Osama bin Laden
Mwaandishi mmoja mashuhuri kwa ripoti za upekuzi, Seymour Hersh, amekanusha madai ya utawala wa Rais Obama

kuhusiana na kuuawa kwa kinara mkuu wa kundi la wapiganaji la Al-Qaeda, Osama Bin Laden, nchini Pakistan miaka 8 iliyopita.
Akiandika katika jarida la London Review of Books, Bwana Hersh, alikanusha madai ya Washington kuwa, kutekwa na kisha kuuawa kwa kiongozi huyo wa AlQaeda ilikuwa ni janja janja za shirika la kijasusi la Marekani CIA.
Hersh anasema ukweli ni kuwa walisaidiwa pakubwa na shirika la kijasusi la Pakistani.
Aidha kiongozi mkuu wa kijasusi wa Pakistan anasemekana kuongoza mikakati ya operesheni hiyo ya kisiri.
Mwaandishi mmoja amekanusha madai ya utawala wa Rais Obama kuhusiana na kuuawa Osama Bin Laden
Wakati ambapo Pakistan ilipojitenga na uvamizi huo na kuutaja kama ukiukaji wa uhuru na mipaka yake.
Marekani wala Pakistan hazijasema chochote hadi kufikia sasa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728