25 Mei 2015

Ndoa za jinsia moja zaungwa mkono

ireland
Ishara za mapema kutoka kwa kura ya maoni kuhusu uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.

Kura zinaendelea kuhesabiwa na matokeo rasmi yanatarijiwa kutangazwa baadaye leo.
Lakini mawaziri wa serikali ambao wanaunga mkono mabadiliko hayo ya kikatiba,wameielezea siku ya leo kama ya kihistoria huku wengi waliopinga kura hiyo wakiwapongeza waliounga mkono sheria hiyo ya ndoa za jinsia moja.
Iwapo mabadiliko hayo yataidhinishwa,Ireland itakuwa nchi ya kwanza kuruhusu ndoa za jinsia moja kupitia wingi wa kura.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728