12 Mei 2015

Guardiola aapa kuinyamazisha Barcelona

Kocha wa Bayern Munich
Bayern Munich imesema kuwa itang'ang'ana hadi dakika ya mwisho kubadilsha matokeo ya 3-0 dhidi ya Barcelona wakati timu hizo zitakapokutana leo.

Mabingwa hao wa Ujreumani walishindwa 3-1 dhidi ya Porto katika mechi ya robo fainali kabla ya kubadilisha matokeo hayo na kuwa 6-1.
Barcelona vs Bayern
Mkufunzi wa Bayern Pep Guardiola ambaye alikuwa akiifunza Barcelona amesema:''Njia ya pekee itakayotuhakikishia tumeingia fainali ni kucheza zaidi ya Barcelona na kufanya vile tulivyofanya dhidi ya Porto.''Mpango wetu ni kujaribu hadi mwisho''.
Guardiola na Enrique wa Barcelona
Mabingwa hao wa Ujreumani wanacheza bila Franck Ribery na Arjen Robben.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728