25 Mei 2015

Andiko la Ray Kuhusu Picha Chafu za Msichana Kwenye ‘Account Fake’ FB

Andiko la Ray Kuhusu Picha Chafu za Msichana Kwenye ‘Account Fake’ FB
TANGAZO. Wadau katika watu naowaeshimu duniani ni wanawake maaana najua halisi ya mwanamke ni mama zetu wametuweka tumboni miezi 9 kwenye shida na rahaa.

Sasa wacha nirudi kwenye point yangu ya msingi kuna mtu kafungua account fake kwenye facebook nakujiita vicent kigosi kwanza kabisa kulikuwa na utapeli wa yeye mwenye account hiyo fake kwa kusema eti kuwa mimi nahitaji wasanii kwa hiyo alikuwa anawalipisha watu pesa ilo nililikanusha na kuwaambia watanzania kama ni account fake wala sio mimi.
La pili sasa lilionisikitisha kabisa kampost mwanamke akiwa uchi ni udhalilishaji mkubwa sana mimi ni mtu mzima mwenye heshima kubwa sana kwenye nchi hii siwezi fanya huo upuuzi simfahamu huyo dada wala sijawahi kumuona kwenye maisha yangu hiyo account fake wala hainihusu asanteni kwa usumbufu uliojitokeza.
 Vicent kigosi ‘Raythegreatest’  ameandika hayo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728