16 Mei 2015

Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo



Meya wa mji wa Boston Martin Walsh amesema kuwa ana matumaini kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji kwenye mbio za Boston Marathon itawapa nafuu wale wote walioathiriwa na shambulizi hilo.

Iliwachukua majaji saa 14 kuamua ikiwa Dzhokhar Tsarnaev atauawa kwa kudungwa sindano ya sumu badala ya kupewa kifungo cha maisha.
Waathiriwa kadha walielezea kuridhika kwao wakisema kuwa uamuzi huo utawawezesha kuendela na maisha yao.
Wengi wanahofu kuwa ikiwa rufaa itakatwa, itawaongezea machungu zaidi moyoni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728