11 Mei 2015

Chama cha Upinzani chamteua kiongozi mweusi

Mmusi Maimane
Chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini cha Democratic Alliance kimemteua mwafrika kwa kwanza kukiongoza .

Wajumbe katika kongamano kwenye mji wa Port Elizabeth walimteua Musi Maimane kukiongoza chama hicho.
Bwana Maimane mwenye umri wa miaka 34 tayari anakiongoza chama hicho bungeni.
Waandishi wanadai kuwa Chama hicho cha Democratic Alliance kimekuwa kikionekana kama kinchowawakilisha watu weusi lakini sasa kinajaribu kujibadilisha ili kupata kuungwa mkono katika maeneo yote.
Hatahivyo wakosoaji wanasema kuwa Maimane hana ujuzi wa kukiongoza chama hicho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728