25 Mei 2015

Ancelotti:Nikifutwa nitapumzika mwaka 1

Carlo Ancelotti
Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kuwa atachukua likizo ya mwaka mmoja iwapo atafutwa kazi na kilabu hiyo.

Ancelotti mwenye umri wa miaka 55 amesalia na kandarasi ya mwaka mmoja katika kilabu hiyo lakini hajui hatma yake.
Kocha huyo ataanzisha mazungumzo na Real Madrid wiki ijayo huku kukiwa na madai kwamba kocha wa Napoli Rafael Benitez anatarajiwa kumrithi.
Carlo Ancelotti
''Tayari nimeamua kuhusu hatma yangu katika siku za usoni'',alisema Ancelotti.
''Nadhani tutatukana wiki ijayo ili kuweza kuweka wazi hatma ya klabu hiyo'',alisema Ancelotti ambaye amekuwa akihusishwa na kilabu ya Manchester City baada ya Real Madrid kuicharaza Getafe mabao 7-3.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728