12 Mei 2015

Afrika Mashariki yafuzu wavu ya ufukweni

Wachezaji wa mpira wa wavu ufukweni
Rwanda ndio mabingwa wa michuano ya mpira wa wavu wa ufukweni kwa wanawake yaliyofanyika katika Pwani ya Mombasa, nchini Kenya.

Michuano hiyo ilikuwa maalumu ili kupata timu zitakazofuzu kucheza Michezo ya Afrika nchini Congo Brazzaville kuanzia Septemba 4 mpaka 19.
Rwanda iliwafunga Kenya kwa seti 2-1 katika mechi ya kuamua bingwa . Wachezaji wa Kenya walioshindwa walikuwa Edna Rotich na Glaudencia Makokha wakati bendera ya Rwanda ilipeperushwa vema na Nosseir Mohammed na Elfayed Taufiq.Tanzania imefanya vibaya katika michuano hiyo na kushindwa kufuzu baada ya kupoteza mechi zake, ikiwemo ile kati yake na Uganda.
Kufanya vibaya kwa Tanzania kunazifanya timu nne za Rwanda, Rwanda, Kenya, Misri na Uganda kufuzu kucheza Michezo ya Afrika nchini Congo Brazzaville.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728