12 Mei 2015

Yanga mpya kasheshe

ANGA wamefikiria kikosi chao wakaanza kukuna kichwa na kufikiria kwamba inaweza kutokea kasheshe kubwa kama mawinga wawili, Simon Msuva na Mrisho Ngassa watakosekana Jangwani msimu ujao.

Wachezaji hao wamekuwa na mchango mkubwa kwenye kikosi hicho hususani msimu huu ambao Msuva licha ya kutengeneza mabao mengi kama ilivyo kwa Ngassa, amekuwa mfungaji bora kwa mabao yake 17. Ngassa mwenye mabao manne tayari ameshasaini mkataba na klabu ya Free State ya Afrika Kusini wakati Msuva amefuzu majaribio Bidvest Wits ya hukohuko na kinachosubiriwa sasa ni ofa yake kuletwa rasmi Yanga

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728