12 Mei 2015

Maelfu ya raia wa Burundi wakisubiri kupokewa katika mji wa Kagunga nchini Tanzania. Raia wamelazimika kuikimbia nchi yao kufuatia ghasia zinazosababishwa na maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania awamu ya tatu uongozini. Hii leo milio ya risasi imesikika katika vitongoji vya mji mkuu wa Burundi, Bujumbura, huku vijana wanaoandamana kumpinga Rais Nkurunziza wakiwarushia mawe polisi wanaojaribu kudhibiti hali. Nao viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana kesho jijini Dar es Salaam, Tanzania, kuzungumzia hali inayozidi kutokota nchini Burundi. Je, unadhani mkutano huu utaleta suluhu yoyote katika
mgogoro wa Burundi? Tupe maoni yako.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728