12 Mei 2015

Libya yapinga jeshi katika Mediterrania

Image result for picha za watu libyaBalozi wa Libya kwenye Umoja wa Mataifa anasema kuwa nchi yake itapinga jaribio la muungano wa ulaya kutaka kuundwa kwa jeshi litakalokabiliana na walanguzi wa binadamu katika bahari ya mediterrania .

Ibrahim Dabbashi aliambia BBC kuwa hakukua na majadilianona Libya kuhusu suala hilo.
Umoja wa Ulaya ulikuwa umependekeza kupitishwa kwa azimio litakaloruhusu kuundwa kwa jeshi litakalokabiliana na walanguzi wa watu.
Balozi wa Umoja wa Ulaya katika Umoja wa Mataifa ,Federica Mogherini, anatarajiwa kuhutubia baraza la usalama la umoja wa mataifa baadaye leo.
Jana Jumapili shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lilisema kuwa wahamiaji wanahatarisha maisha yao kufika bara ulaya kwa sababu wanakabaliwa na hatari ya kutekwa , mateso na ubakaji nchini Libya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728