16 Mei 2015

IS latoa ukanda wa video wa Al Baghdad

Kiongozi wa kundi la Islamic state Al Baghdad
Kundi la Islamic State limetoa ujumbe kupitia mkanda wa video ambao linasema ulinaswa na kiongozi wake, Abu Bakr al-Baghdadi.

Hakujakuwa na uthibitisho wa hakika lakini wachambuzi wanasema kuwa sauti hiyo inafanana na yake.
Al-Baghdadi inasemekana alijeruhiwa vibaya mwezi Machi.
Lakini mwandishi wa BBC anasema kuwa sauti hiyo haifanani ya mtu aliyedhohofika kiafya.
Ujumbe huo unazungumzia mashambulizi yaliyotekelezwa na jeshi la Saudia huko Yemen kuanzia machi ishirini na sita kumaanisha kuwa huenda kanda hiyo haijazidi wiki saba tangu irikodiwe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728