11 Mei 2015

Mchezaji kugharamia hasara ya bao lake

Mchezaji kandanda ameahidi kulipia hasara iliyosababishwa na shabiki wake alipofunga bao.
Mchezaji kandanda ameahidi kulipia hasara iliyosababishwa na shabiki wake alipofunga bao.

Shabiki huyo sugu Ross Morgan, 25, alikuwa akitizama mechi kati ya Ipswich na Norwich jumamosi iliyopita wakati huo timu yake ikiwa nyuma kwa bao moja.
Hata hivyo anasema alishikwa na wazimu akaruka juu na kupiga ngumi dari ya nyumba yake ikatoboka baada ya Paul Anderson kufunga bao la kusawazisha.
Morgan, alisisimka na akagonga dari ya nyumba yake akitizama mechi ya Ipswich
Morgan aliipiga picha shimo hilo na akaiweka kwenye mtandao wake wa kijamii wa Twitter.
Mashabiki wenza waliisambaza na ikamfikia Anderson ambaye ilimgusa na akajitolea kugharamia hasara aliyosababisha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728