16 Mei 2015

Papa Francis akutana na rais wa Palestine

Papa Francis akutana na rais wa Palestine
Kiongozi wa Wakatoliki duniani Papa Francis amefanya mazungumzo na rais wa Palestina Mahmoud Abbas huko Vatican.

Papa Francis alimmiminia sifa Abbas akimtaja kuwa, kuwa ni malaika wa amani.
Kiongozi huyo wa wakatoliki alimsifu Abbas kabla ya kumtunukia medali ya amani.
Ziara ya bwana Abbas inawadia siku chache tu baada ya utawala wa kanisa Katoliki duniani wenye makao yake huko Vatican kutangaza kuwa wataweka sahihi ya kwanza na wapalestina hivi karibuni.
Mkataba huo utakaotiwa sahihi karibuni unatambua hoja ya kuweko kwa mataifa mawili mkabala ilikuchochea amani baina ya wapalestina na waisraeli.
Kulingana na Vatican hiyo itahakikisha kutambuliwa kwa wakatoliki katika maeneo yanayotawaliwa na rais Abbas.
Israeli kwa upande wake ilitangaza kutofurahishwa kamwe kwa mkataba huo baina ya kanisa katoliki na taifa la Plaestina kwani inatambua ''Palestina kuwa taifa''
Rais Abbas yuko Vatican kuhudhuria kutawazwa kwa watawa wa kipalestina na kanisa katoliki.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728