16 Mei 2015

Desmond Tutu amshtaki mjukuu wake

Askofu mkuu mstaafu Desmond Tutu
Askofu mkuu mstaafu wa mji wa Capetown na mshindi wa tuzo la Nobel Desmond Tutu pamoja na mkewe wamemshtaki na mashtaka ya uhalifu mjukuu wao.

Katika taarifa kupitia wakfu wa Desmond na Leah Tutu hawakutoa maelezo zaidi ,lakini maafisa wa polisi wa Afrika kusini wamesema kuwa wanachunguza kesi kuhusu uharibifu wa mali kwa makusudi.
Mjukuu huyo Ziyanda Palesa Tutu anatarajiwa kujisalimisha kwa polisi.
Desmond Tutu
Amesema kuwa amehuzunishwa sana.
Wakfu huo umesema kuwa familia imeshangazwa na kitendo hicho na wanatumai kwamba wataliweka nyuma swala hilo hivi karibuni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728