11 Mei 2015

Hollande kukutana na Castro wa Cuba

Holande anatarajiwa kukutana na rais wa Cuba Raul Castro baadaye leo.
Rasi wa Ufaransa Francois Hollande yuko nchini Cuba ikiwa ndiyo ziara ya kwanza kufanywa na rais wa Ufaransa kwa zaidi ya karne moja.

Holande anatarajiwa kukutana na rais wa Cuba Raul Castro baadaye leo.
Hollande anakuwa rais wa kwanza wa Ufaransa aliye madarakani kufika nchini cuba kwa zaidi ya karne moja iliyopita
Akiwasili mjini Havana rais Hollande anakuwa rais wa kwanza wa Ufaransa aliye madarakani kufika nchini cuba kwa zaidi ya karne moja iliyopita.
Lakini pia ndiye afisa wa kimataifa wa cheo cha juu kukizuru kisiwa hicho tangu uhusiano kati ya Cuba na Marekani utangazwe kuboreka mwezi disemba.
Uingereza , Uholanzi, Japan na Urusi tayari wametuma waakilishi wao kwenda Cuba kati miezi ya hivi majuzi.
Hollande anakuwa rais wa kwanza wa Ufaransa aliye madarakani kufika nchini cuba kwa zaidi ya karne moja iliyopita
Kinyume na washirika wake barani ulaya Ufaransa imedumisha uhusiano wake na taifa hilo la kiKomunisti.
Rais Hollande ameandamana na wajumbe wa karibu wafanyibiashara 20 kutoka Ufaransa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728