23 Mei 2015

M'barikiwa Irene Stefani atambuliwa Kenya

Maelfu wakongamana nchini Kenya kumsherehekea mbarikiwa Irene stefani
Maelfu ya Wakatoliki wanahudhuria sherehe mjini Nyeri, Kenya, ya kum'bariki mtawa wa kale kutoka Italia.

Irene Stefani aliwasaidia majeruhi wa Afrika Mashariki, wakati wa vita vya kwanza vya dunia, kabla ya kufariki kutokana na tauni mwaka 1930.
Mji wa Nyeri umejaa maelfu ya watu na wengi walikesha hapo jana.
Mabaki ya mtawa huyo yatasafirishwa hadi kanisa kuu la Nyeri siku ya jumapili.
Mabaki ya Irene Stefani
Wakatoliki wanaamini kuwa alionyesha miujiza baada ya kufa, katika mwaka wa 1989, pale watu waliokuwa wakikimbia vita vya Msumbiji, walipoomba kwa jina lake.
Wanasema maji yalitiririka kutoka mbele ya kanisa, na kunusuru maisha ya waliokuwa na kiu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728