10 Desemba 2015

Mbwa wa Benjamin Netanyahu huuma wageni

KerryImage copyrightReuters
Image captionKaiya amewahi kukutanishwa na John Kerry
Mbwa ambaye anayefugwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwauma wageni wawili, akiwemo mbunge, katika hafla ya kidini.

Kisa hicho kilitokea katika hafla ya kuwasha michumaa kuadhimisha sikukuu ya Kiyahudi ya Hannukah nyumbani kwa Bw Netanyahu.
Mbunge huyo Sharren Haskel na mume wa Tzipi Hotovely, naibu waziri wa mashauri ya kigeni, hawakuumia sana.
Bw Netanyahu alimchukua mbwa huyo kwa jina Kaiya kutoka kwa kituo cha kuwaokoa wanyama waliotelekezwa mapema mwaka huu.
Image copyrightTwitter
Waziri mkuu huyo alipakia kwenye Twitter picha yake akiwa na mbwa huyo wa umri wa miaka 10 mwezi Agosti.
"Ukitaka mbwa, tafuta mbwa aliyekomaa kutoka kituo cha kuwaokoa wanyama. Hutajuta,” aliandika.
Kaiya amekutana na wageni mashuhuri akiwemo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani John Kerry.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728