16 Desemba 2015

Yanga yapaa kileleni ligi ya Tanzania

Image captionTimu ya Yanga ya Tanzania
Timu ya soka ya Yanga imerejea tena kileleni mwa ligi ya Tanzania baada kupata ushindi dhidi ya African Sport.

Yanga wakicheza ugenini katika dimba Mkwakwani walipata ushindi wa bao 1-0 kwa bao liliwekwa kambani na kiungo Thabani Kamusoko.
Timu hiyo sasa inaongoza Ligi ikiwa na alama 27, na kuwazidi timu ya Azam FC kwa alama 1 huku Azam wakiwa na mchezo mmoja mkononi.
Ligi hiyo itaendelea tena kutimua vumbi mwishoni mwa wiki kwa michezo mbalimbali kuchezwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728