16 Desemba 2015

Ripoti mpya ya UNICEF yashtua

Image copyrightReuters
Image captionMiongoni mwa watoto wanaozaliwa katika maeneo yenye vita wakiwa na mama zao.
Zaidi ya watoto milioni 16 duniani, wamezaliwa katika mazingira ya kivita katika kipindi cha mwaka mmoja pekee.

Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa mataifa linaloshugulikia maswala ya watoto UNICEF imesema kila baada ya sekunde mbili mtoto mmoja huzaliwa katikati ya mizozo ya kivita.
Ripoti hiyo inasema pia katika maeneo hayo hakuna huduma za afya.
Idadi ya watu wasio na makao imeongezeka maradufu tangu vita vya pili vya dunia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728