28 Desemba 2015

Wapiganaji waondolewa Syria

Hezbollah 
Wapiganaji wa makundi ya waasi Syria wameanza kuondolewa kutoka mji wa Zabadani karibu na mpaka wa Syria na Lebanon.

Wanaondolewa kupitia mkataba auliofanikishwa na Umoja wa Mataifa.
Msafara wa mabasi na ambiulensi ulifika katika mji huo Jumatatu ukitokea Lebanon kuwachukua wapiganaji pamoja na baadhi ya raia. Watasafirishwa hadi mjini Beirut, na baadaye wasafirishwe kwa ndege hadi Uturuki.
Operesheni hiyo ni sehemu ya makubaliano ya kusitisha mapigano ulioafikiwa mwezi Septemba ukiangazia mji wa Zabadani na miji mingine miwili Kaskazini.
Watu wa familia 300 kutoka miji hiyo iliyoko mkoa wa kaskazini wa Idlib pia wanahamishwa hadi uturuki, ambapo baadaye watapelekwa Lebanon.
Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) limesema maafisa wa Shirika la Msalaba Mwekundu Lebanon na Shirika la Hilali Nyekundu la Syria pamoja na Umoja wa Mataifa wanahusika katika operesheni hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728