28 Desemba 2015

Carrick: Tunacheza kwa ajili ya Van Gaal

Man UtdNahodha msaidizi wa Manchester United, Michael Carrick amelalamika madai kuwa wachezaji wa klabu hiyo hawachezi vizuri ili kulinda kibarua cha kocha wao.

Wachezaji wa Man United wamelaumiwa baada ya kupoteza mchezo wa nne mfululizo dhidi ya Stoke City kwa kuchapwa mabao 2-0 Jumamosi.
Amesema: "Ni makosa kusema wachezaji hawajitumi kadri ya uwezo wao kwa ajili ya kocha Luis Van Gaal, inaumiza sana sisi sio watu wa aina hiyo."
Man United watashuka dimbani dhidi ya Chelsea katika mchezo Jumatatu jioni huku shinikizo kubwa likiwa kwa kocha wa kikosi hicho Lauis Van Gaal

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728