01 Machi 2016

RAISI WA FRIKA KUSINI AKABILIWA NA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NAYE BUNGENI


Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anakabiliwa na kura ya kutokuwa na imani naye bungeni leo, ikiwa ni mara ya pili katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja. Kura hiyo ya kutokuwa na imani na rais Zuma imeitishwa na chama cha upinzani cha Democratic Alliance DA.Pia chama hicho
kinajaribu kwa njia ya kisheria kurudisha tena mashtaka ya rushwa dhidi ya kiongozi huyo, baada ya kutumia kitita kikubwa cha fedha kukarabati makaazi yake ya binafsi kijijini anakotoka. Zaidi sikiliza matangazo yetu ya leo Jioni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728