20 Machi 2016

Kwa jumla kuna chaguzi 5 barani Afrika


Uchaguzi unafanyika katika nchi tano za Afrika huku Senegal ikiandaa kura ya maoni kupunguza muhula wa rais.

Duru ya pili ya uchaguzi wa urais inafanyika nchini Niger, licha la mgombea upinzani kuwa hospitalini nchini Ufaransa.
Nchini Tanzania katika kisiwa cha Zanzibar, duru ya pili ya uchaguzi wa urais inafanyika baada ya kufutwa kutokana na matatizo yaliyotokea mwezi Oktoba
Uchaguzi pia unafanyika nchini Benin, Cape Verde na Congo Brazzaville.


Rais Muhamadou Issoufou anatarajiwa kushinda muhula wa pili katika kura ya kumpinga waziri mkuu wa zamani na spika wa bunge Hama Amadou.
Wakati wa duru ya kwanza mwezi Februari bwana Issoufou alipata asilimia 48 ya kura huku bwana Amadou akiwa wa pili na asilimia 17.
Usalama ni mkali kisiwani Zanzibar kutokana na kushuhudiwa ghasia wakati wa uchaguzi wa hivi majuzi.
Mwandishi wa BBC kisiwani humo anasema kuwa wapiga kura sio wengi vituoni . Chama cha upinzani cha CUF kimewashauri wafuasi wake kususia uchaguzi huo.
Matokeo ya mwezi Oktoba ya yalikataliwa baada ya mgombea wa CUF Seif Sharif Hamad kujitangaza mshindi kabla ya kutangazwa kwa matokeo rasmi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728