Amewatembelea wataalam wa macho na madaktari wa maswala ya uzazi,madaktari wa watoto na wataalam wengine kujua sababu ya tatizo hilo.
''Inachoma na inapoziba jicho lango siwezi kuona'',aliimbia Newsbeat.
Hali hiyo isiyo ya kawaida pia huathiri masikio yake,pua,ufizi,kichwa,kucha na ulimi.
Hali hiyo ilianza baada ya kijana huyo kutoka eneo la Stoke-on-Trent kuanza kukohoa damu mnamo mwezi Machi 2013.
Wazazi wake waliita ambyulensi ,madaktari waliofika walishangazwa sana na tukio hilo ambalo hawajaliona ,alielezea.
Nilipoenda hospitalini walinichunguza macho yangu lakini kila kitu kilikuwa sawa.
''Nilifanyiwa uchunguzi wa damu na matokeo yake yalikuwa sawa''.
Kwa kipindi cha wiki mbili zilizofuata macho yake yaliendelea kutokwa na damu.
Marnie-Rae alifanyiwa ukaguzi mwengine ,ambapo wataalam wengi walibaini kwamba ana kinga iliodhoofika.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni