Mkuu wa shirika la kupambana na dawa za kulevya Indonesia amependekeza mamba watumiwe kulinda wafungwa waliohukumiwa kunyongwa.
Takriban watu 10 wamepigwa risasi na
kuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka
mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab
nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa
nchi na kuwauwa wanajeshi 13.
Wagombea watano wa
tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla
maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Rais Hollande ameelezea
mashambulio hayo kuwa kitendo cha vita vilivotangazwa na IS ambao
alisema walipata msaada kutoka ndani ya nchi.