Takriban watu 10 wamepigwa risasi na
kuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka
mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.
Kundi la wapiganaji la Islamic State
limetoa taarifa kusema kuwa lilifanya mashambulio ya mjini Paris Ijumaa
usiku ambapo watu kama 127 waliuwawa.
Rais Hollande ameelezea
mashambulio hayo kuwa kitendo cha vita vilivotangazwa na IS ambao
alisema walipata msaada kutoka ndani ya nchi. Image copyrightPAImage caption
Shambulizi Paris
Ametangaza hali ya dharura.
Wanaume wanane
waliovaa vizibau vyenye mabomu walikufa kwenye mashambulio hayo katika
sehemu sita mbalimbali za mji mkuu wa Ufaransa.