
28 Januari 2015
BUNGE
Ni siku nyingine katika wiki, bunge linaendelea leo kwa siku ya tatu tangu lianze wiki hii. Tutajuzana hapa kinachoendelea na ratiba ya leo itakua kama ifuatavyo.
Baadhi ya vijana wanaochukua mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Serikali imesitisha mafunzo ya JKT kwa mwaka huu. Kwa hiyo wale vijana waliokua wanategemea kuanza mafunzo hayo mwezi wa pili (tano) mwaka huu, mafunzo hayo hayatakuwepo tena.
Wahitimu mafunzo ya awali ya kijeshi kenye kambi ya JKT Ruvu kikosi cha singe wakiwa katika maonyesho ya kivita kwenye sherehe za kuhitimu mafunzo hayo
Sababu ya kusitisha mafunzo hayo ni ukata unaoikabili serikali.
Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika Kikosi cha Ruvu, Kibaha, mkoani Pwani kwa mujibu wa sheria wakionyesha umahiri wao wa kuruka moto
27 Januari 2015
AMKA
MBINU ZA BIASHARA 1
SIRI YA UTAJIRI
JIBU LA KWA NINI WATU WENGINE NI MASIKINI NA WENGINE NI MATAJIRI
Watu wengi wanajiuliza, “Siri ya utajiri ni nini?” Jee ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri? Siri kubwa ya utajiri ni kujifunza elimu ya namna ya kutafuta mtaji, kuwekeza kwa busara kwa namna ambayo daima panakuwa na ziada na faida. Kwa bahati mbaya sana, elimu hii haifundishwi darasani ila wanayo wafanyabiashara wachache na kila anayefanikiwa kujifunza siri hii huwa tajiri na huendelea kuificha. Kwa bahati nzuri, katika utafiti wagu nimeweza kuigundua siri ya utajiri. Kwa kuwa ninapenda wasomaji wangu waweze kufanikiwa na wapate manufaa kwa kununua kitabu hiki nimeamua kuiweka siri hii wazi:-
SHIDA YA UMEME KARIBUNI KWISHA
Dar es Salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema halitaongeza mkataba na Kampuni ya kufua umeme ya Agreeko na Symbion kutokana na kukamilika kwa asilimia 72 mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi 1.
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema halitaongeza mkataba na Kampuni ya kufua umeme ya Agreeko na Symbion kutokana na kukamilika kwa asilimia 72 mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi 1.
26 Januari 2015
SOMA UTAPE MAARIFA

SOMA HAPA USIJE KUFA KWA UZEMBE
Jumuiya ya madaktari wa Marekani imetoa majibu ya vyanzo vya cancer:-
1.Usinywe chai kwenye vikombe vya plastic.
2.Usile chochote chenye moto kilicho ndani ya mfuko wa plastic, mfano; chipsi.
3.Usipashe chakula kwenye microwave kwa kutumia chombo cha plastic.
KUMBUKA plastic ikikutana na joto inatoa kemikali inayosababisha aina 52 za cancer.
Kwahiyo Wafahamishe wote uwapendao ili waepukane na madhara haya.
Share kuwatahadharisha wenzako
De Jong eager to make Newcastle impact
CHELSEA Vs MAN CITY
NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani
Dar es Salaam. Chama cha NCCR-Magezi kimesema, vigogo wote waliohusika kutoa na kupokea mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow wafikishwe mahakamani akiwamo Mkurugenzi wa VIP Engineering Ltd, James Rugemalira .
Zitto: Escrow ni zaidi ya Muhongo
Dawa hizi ni hatari kwa binadamu – TFDA
Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya
21 Januari 2015
18 Januari 2015
3,052 Baptized and 200 Pastors Ordained in Dominican Republic A historic Sabbath caps the Adventist Church’s Ten Days of Prayer.
The worship service at Santo Domingo’s El Palacio de Los Deportes stadium, transmitted live online and via radio and television, was attended by the Adventist Church’s 29 top leaders, including General Conference president Ted N.C. Wilson, who preached the sermon.
Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?
Zikiwa zimesalia siku 42 kufika tarehe 1 Machi 2015, tarehe ambayo kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo siku ambayo Asasi za Kiraia baada ya kupewa ruhusa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi zitaanza kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa.
Ngeleja agoma kung’oka
Vituko vya mwakilishi wa Rais Kikwete
Lembeli: Tutasafisha Wizara ya Ardhi
Escrow yauma vigogo BoT, TRA
17 Januari 2015
09 Januari 2015
Pinda akana kulialia
Jaji akumbusha machungu kifo cha Daudi Mwangosi
Panya Road wafurika mahabusu Dar
Raia wa Kuwait akamatwa na kenge 149
08 Januari 2015
Baba amtupa mwanawe ndani ya maji
Mwanaume mmoja amefikishwa
mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto
wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.
Afisa
wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama
John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha
gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.
Polisi hawana uhakika ikiwa mtoto huyo alifariki kabla ya kutupwa ndani ya maji lakini uchunguzi bado unafanywa.
Bwana Jonchuck alikamatwa dakika 30 baadaye na alitarajiwa kufikishwa mahakamani Alhamisi.
Afisaa huyo ambaye hakutambuliwa aliendesha gari lake kwa kasi na kumfuata Jonchuck ambaye alisimamisha gari lake ghafla.
Jonchuck aliondoka kwenye gari lake na kumkaribia polisi na muda si muda alikwenda upande mwingine wa gari na kumchukua mwanawe, kumkumbatia kwa muda. Polisi alisema alisikia mtoto huyo akipiga mayowe lakini hakumbuki vyema kwani muda mfupi baadaye babake mtoto huyo alimtupa ndani ya maji umbali wa kilomita 2.4 kutoka juu ya daraja hilo.
''Baada ya kitendo chake mshukiwa alitoroka,'' alisema afisaa huyo wa polisi.
Nimekuwa nikiwashika wahalifu kwa miaka 29, lakini sijawahi kujionea kitu kama hiki sina habari kabisa alichokuwa anakitafakari mshukiwa huyo.
Bwana Jonchuck, anayeishi na babake alikuwa ameruhusiwa na mahakama kuishi na mwanawe baada ya kukosana na mama ya mtoto huyo. Aliwahi kushitakiwa kwa kosa la kumchapa mkewe pamoja na kuendesha gari lake akiwa mlevi mwaka 2013.
Fernando Torres arejea kwa kishindo
Fernando Torres arejesha ushindi
katika klabu yake ya Atletico Madrid kwa kuwabamiza Real Madrid 2-0
katika michuano ya Kombe la Mfalme, Copa del Rey.
Chelsea yamtaka Messi kwa pauni milioni 200
Mmiliki wa kilabu ya Chelsea Abramovic
Lionel Messi ameambiwa kwamba kuna mkataba wa miaka sita kutoka kwa kilabu ya Chelsea unaomngojea.
Duru
za karibu na mchezaji huyo wa Barcelona zinaarifu kuwa Chelsea imeweka
wazi kwamba iko tayari kutoa kitita cha pauni millioni 200 kumnunua
nyota huyo.Vilevile The Blues imedaiwa kwamba iko tayari kulipa mahitaji yake ya mshahara ambayo huenda yakaongeza kiwango hicho mara mbili.
Inadiwa kuwa Mesi hakushiriki katika mazoezi ya siku ya jumatatu huku Enrique akishindwa kukana mgogoro uliopo kati yake na Messi.
07 Januari 2015
Mwanamume mweye jinsi mbili asimulia maisha yake
BBC, Uingereza. Mwanamume mwenye jinsi mbili, amezungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kusema kama wazazi wake wangemshauri kuhusu hali hiyo, asingeogopa kujitambulisha ulimwenguni.
Ngumi, mabomu uapishaji wenyeviti wa mitaa
ACT-Tanzania vipande vipande
Kashfa ya Escrow yamng’oa Chenge rasmi
05 Januari 2015
Watoto wazaliwa wameungana
Mila zazua mtafaruku makaburini
AG MASAJU: Nitaanza na mikataba ya gesi
Korea Kazkazini yaionya Marekani
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
04 Januari 2015
Sitta apinga magari ya Tanzania kuzuiwa Kenya
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameshtushwa na hatua ya Serikali ya Kenya kuyazuia magari yenye namba za usajili za Tanzania kuingia katika eneo la maegesho ya magari katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata na kuweka wazi kuwa ni hatua isiyokubalika.
Membe, January wahofia urais
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bernard Membe na January Makamba ambao wametangazi nia ya kugombea urais mwaka huu, wameanza kuonesha hofu kuhusu nafasi hiyo ya juu nchini.
Mwili wa marehemu wazikwa na kuku tumboni
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mwili wa Benadetha Steven (35), aliyefariki dunia juzi umefanyiwa matambiko ya kimila baada ya kupasuliwa na wembe ukiwa kaburini na kuingiziwa kuku ndani ya tumbo lake ikiwa ni ishara ya kuondoa mkosi.
Escrow yazamisha watatu urais 2015
KASHFA ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, imewachafua viongozi watatu ambao walishaanza harakati za kuusaka urais kwa mwaka 2015.
Siri nzito uteuzi wa mawaziri
Atangaza kuuza figo kwa sh 90 mil
03 Januari 2015
IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk.Mighanda Manyahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)