05 Januari 2015

Korea Kazkazini yaionya Marekani

Korea kazkazini imeonya kuwa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi yake ni kitendo cha uadui ambacho hakitafanikiwa.

Msemaji wa wizara ya mambo ya kigeni amenukuliwa na vyombo vya habari vya serikali akisema kuwa vikwazo hivyo vitaifanya korea kaskazini kuwa mbaya zaidi ili kulinda uhuru wake.
Rais Obama aliiwekea korea kaskazini vikwazo siku ya Ijumaa akiishutumu kwa kundesha uhalifu wa mtandao dhidi ya kampuni ya Sony Pictures ilipokuwa ikijiandaa kuonyesha filamu ya dhihaka ya kuuawa wa kiongozi wa korea kaskazini Kim Jong-un.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728