14 Novemba 2015

Mamba kulinda wafungwa hatari Indonesia

Mamba 
Mkuu wa shirika la kupambana na dawa za kulevya Indonesia amependekeza mamba watumiwe kulinda wafungwa waliohukumiwa kunyongwa.

Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10

Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.

Watu 127 wauawa katika mashambulio Paris


Ufaransa 
Image caption Manusura wamekuwa wakiondolewa eneo la Bataclan kwa mabasi
Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 127 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris.

Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.

Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015


Wagombea watano wa tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.

Maombolezo na hali ya hatari Ufaransa

Kundi la wapiganaji la Islamic State limetoa taarifa kusema kuwa lilifanya mashambulio ya mjini Paris Ijumaa usiku ambapo watu kama 127 waliuwawa.
Wanajeshi wanalinda mji wa ParisRais Hollande ameelezea mashambulio hayo kuwa kitendo cha vita vilivotangazwa na IS ambao alisema walipata msaada kutoka ndani ya nchi.
Image copyright PA
Image caption Shambulizi Paris
Ametangaza hali ya dharura.
Wanaume wanane waliovaa vizibau vyenye mabomu walikufa kwenye mashambulio hayo katika sehemu sita mbalimbali za mji mkuu wa Ufaransa.
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728