01 Aprili 2017

Nikki wa Pili Afunguka

RAPA anayetamba na ngoma ya Sweet Mangi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ amefungukia maisha yake ya kimapenzi na
kusema hawezi kumweka wazi mpenzi wake kwa kuwa maisha hayo ni kama maigizo.

Akipiga stori na Risasi Vibes, Nikki amesema maisha ya kuweka mambo binafsi hadharani yanamfanya aone yupo katika maisha bandia kwa kuwa eneo kubwa huwa ni maigizo.

“Siwezi kuweka wazi maisha yangu na mpenzi wangu hadharani, mimi napenda kuishi kiuhalisia, napenda kupenda na kupendwa pia, maigizo siyo kariba yangu, kuna watu wanatengeneza pesa ndefu kwa kugeuza uhusiano wao kuwa biashara, hao ni wao ila mimi siwezi,” alisema Nikki wa Pili.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728