15 Aprili 2018

Tetesi za soka Ulaya






Gareth Bale
Gareth Bale hakufurahia kutolewa wakati wa kipindi cha mapumziko katika mechi ya
robo fainali ya Real Madrid nyumbani dhidi ya Juventus , lakini mshambuliaji huyo wa Wales mwenye umri wa miaka 28 anataka kusalia katika klabu hiyo ya La Liga.(Mail)
Kiungo wa kati wa Manchester United Ander Herrera hajui iwapo ataandikisha mkataba mpya katika uwanja wa Old Traford.

Anders Herrera

Raia huyo wa Uhispania 28 ana kandarasi na klabu hiyo ya ligi ya Uingereza hadi 2019. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Tottenham na West Ham wanawania kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona ,24,Andre Gomes. (Sport)
Everton inataka kumsajili kiungo wa kati wa Nantes na Ufaransa Kamal Bafounta. (L'Equipe - in French)

Drinkwater

West Ham inataka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea mwenye umri wa miaka 28 Danny Drinkwater ambaye alijiunga na the Blues kwa kitita cha £35m last summer. (Telegraph)
Mkufunzi wa Barcelona Ernesto Valverde amemtetea nyota wa klabu hiyo Lionel Messi baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 kukosolewa baada ya timu hiyo kubanduliwa katika kombe la vilabu bingwa .

Lionel Messi

Pia alikana kukosana na mchezaji huyo pamoja na beki Gerard Pique, 31, baada ya mechi hiyo.
Manchester City huenda wakatumia uwanja wao wa Etihad na Manchester United iwapo mipango wa kuurekebisha uwanja wa Old Traffotd itafanyika. (Sun)

Pep Guardiola

Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola anasema kuwa Chelsea na Manchester United ziliongoza mpango wa kuanza kutumia teknolojia ya video ya VAR katika ligi ya Uingereza msimu ujao.. (Mirror)
Mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte anasema kuwa sio wa kulaumiwa pekee kufuatia matokeo mabaya ya klabu hiyo kwa kuwa makosa yamefanywa na kila mtu katika klabu hiyo". (Mirror)

Antonia Conte

Hatma ya mkufunzi wa Arsenal Arsene katika klabu hiyo huenda ikategemea na kikosi chake iwpao kitaishinda klabu ya kaytika nusu fainali ya kombe la Yuropa (Telegraph)
Mshambuliaji wa Arsenal Alexandre Lacazette, 26, anaamini kwamba ushindi wa kombe la ligi ya Yuropa kutaisadia msimu wa Arsenal na kunedeleza uongozi wa Wenmhger katika klabu hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728