
Mgombea mkuu wa chama cha Republican
Donald Trump ameshutumu Uchina na kusema imekuwa “ikiibaka” Marekani
kupitia sera zake za kibiashara.
Ameambia watu waliohudhuria
mkutano wa kisiasa Indiana kwamba Uchina imekuwa ikitekeleza “wizi
mkubwa zaidi kuwani kutekelezwa katika historia ya dunia.”
Bw
Trump, mfanyabiashara tajiri kutoka New York, amekuwa