Dar es Salaam. Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa madai ya kuongoza maandamano ya baraza hilo kwenda Ikulu.
Habari zilizotufikia wakati tukienda mitamboni, zilisema Mdee baada ya kuachiwa kwa dhamana, aliitisha mkutano wa hadhara jimboni kwake Kawe, lakini polisi walimkamata tena kwa mara ya pili.
Katika tukio la kwanza wengine waliokamatwa na Mdee walikuwemo Diwani wa Viti Maalumu wa chama hicho, Rose Moshi, Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Edward Simbeye na wanachama wengine sita walikamatwa katika maandamano hayo yaliyokuwa na lengo la kwenda kuonana na Rais Jakaya Kikwete kumshinikiza kutoipokea Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Wengine waliokutwa katika kadhia hiyo ni Martha Charles, Beauty Mmari, Anna Linjewele, Sofia Phanuel, Remina Peter na Mwanne Kassim. Hata hivyo wote waliachiwa jana jioni kwa dhamana baada ya kutimiza masharti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura alithibitisha kuwashikilia wafuasi hao ingawa hakueleza hatua zinazoendelea baada ya kuwatia nguvuni.
Juzi jioni, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova aliyapiga marufuku maandamano hayo kwa kuwa hawakuwa na sababu ya msingi ya kuandamana kwenda kuonana na Rais Kikwete.
Mara baada ya kukamatwa na kupakiwa katika gari la polisi lililokuwa limesheheni askari wenye silaha na mabomu ya machozi na lingine likiwa nyuma likisindikiza, yalikwenda katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay.
Aidha, katika hatua nyingine, polisi wa kituo hicho waliendeleza ubabe kwa waandishi wa habari kwa kuwazuia kupata fursa ya kupata habari hasa baada ya Mdee kufikishwa kituoni hapo.
“Nasema ondokeni, hatutaki mtu hapa,” alisema askari mmoja aliyejulikana kwa jina la EM Tille ambaye muda wote alikuwa akiwazonga waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari.
Jana asubuhi maandalizi ya maandamano hayo yalianza saa mbili kwa wahusika kuanza kukusanyika katika ofisi za Bawacha zilizopo Mtaa wa Togo, Kinondoni jijini humo karibu na Kituo Kidogo cha Polisi Kinondoni.
Wakati wakiendelea kukusanyika, polisi nao walikuwa wakifanya doria kwenye mitaa inayozunguka ofisi hiyo, wakiwa katika magari manne yaliyosheheni askari polisi na silaha mbalimbali pamoja na gari la maji ya kuwasha.
Saa 3.58 asubuhi, Mdee alifika katika ofisi hizo ambapo shangwe zilianza kutawala viunga hivyo kwa kuimba nyimbo za kuhamasishana, huku wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali hasa kulaani mchakato mzima wa Bunge Maalumu la Katiba.
Mabango hayo yalisomeka: ‘Katiba sio mali ya CCM’, ‘Rais usipochukua hatua, wananchi tutakulazimisha uchukue hatua’, ‘Bilioni 20 ndani ya siku 50 wakati wamama wanakufa hospitali’, ‘Katiba ya CCM hatuitaki’, ‘Chenge wa vijisenti kapata wapi uzalendo’ na ‘Ardhi, wakulima, wavuvi, afya nk hayo ni ya Tanganyika hatutaki unyonyaji- haki itawale’.
Msafara wa kuelekea Ikulu ulianza saa 4.18 asubuhi kwa Mdee kusema utapita Umoja wa Mataifa kwenda kuingia Barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kundi la pili litaanzia Mnazi Mmoja lililokuwa liongozwe na Mbunge wa Viti Maalumu Ester Matiko kabla ya kutofanyika kutokana na kukamatwa kwa Mdee.
Wakati maandamano hayo yakielekea Ikulu kuanzia zilipo ofisi za baraza hilo Mtaa wa Togo, magari manne ya polisi yaliyosheheni polisi wenye silaha na gari la kuwasha yalikuwa yamefunga mtaa huo hivyo kuwalazimu waandamanaji hao wakiongozwa na Mdee kupita Mtaa wa Ufipa karibu na Makao Makuu ya Chadema.
Wakati wakikata kona kuingia Mtaa wa Ufipa, mita 100 kutoka yalipo makao makuu ya Chadema, gari la maji ya kuwasha lilianza kumwaga maji hayo saa 4.23 ambapo waandamanaji hao waliingia katika kibanda kimoja na askari wa kiume waliingia kuwakamata.
Wakati askari hao wakielekeza nguvu kumkamata Mdee, mmoja wa waandamanaji hao Sofia alitumia nguvu nyingi kumsaidia ili asipate kipigo kutoka kwa polisi, lakini ilishindikana.
Walipokuwa wakimwingiza katika gari askari hao walikuwa wakimpiga Mdee kwa mateke, makofi na askari mwingine alitumia fimbo yake kumchapa sanjari na wanachama wengine waliofikwa na mkasa huo.
Tukio hilo lilipokuwa likiendelea umati wa watu ulikusanyika katika mtaa huo kushuhudia kilichokuwa kikiendelea wakati wa maandamano hayo yaliyokuwa na watu kati ya 50 hadi 80.
Mara baada ya kukamatwa kwa Mdee na kupelekwa Oysterbay, polisi wa kituo hicho waliimarisha ulinzi kwa kutoruhusu mtu au gari lolote kuingia bali walitakiwa kuishia ng’ambo ya barabara.
Katika kituo hicho, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kinondoni, Henry Kileo na Mkurugenzi wa Oganaizesheni wa Mafunzo ya Kanda wa chama hicho, Singo Kigaila na wafuasi wengine walitumia dakika 30 kubishana kutokana na kuzuiliwa kwenda kujua hatima ya wanachama wenzao.
“Unatuzuia kama nani’...Acheni kutumika na CCM’, zilisikika sauti za wanachama hao huku Polisi waliokuwa na silaha wakisema “Ondokeni hapa, nendeni kule ng’ambo na haturuhusu mtu yeyote kusogea hapa,” alisema askari mmoja huku wakifunga riboni karibu na Barabara ya Ali Hassan Mwingi na kuwataka kutouvuka.
Wanachama hao hawakuondoka eneo hilo na kubaki wakiimba nyimbo mbalimbali za kuwasifu wanachama waliokamatwa kwa ujasiri waliouonyesha. Hadi mwandishi wa gazeti hili anaondoka hapo saa 10 jioni wafuasi hao walikuwapo eneo hilo.
Awali Mdee asubuhi akizungumza na waandishi wa habari alisema; “Mmeona polisi walivyotanda, tutaandamana na hatujui kitakachotokea ila lengo letu ni kufikisha ujumbe kwa Rais Kikwete kuwa Rasimu iliyopitishwa haitamkomboa mwananchi.”
05 Oktoba 2014
29 Septemba 2014
Arsenal star sends message to Chelsea ahead of weekend encounter!!!
England youngster insists Arsenal will challenge Chelsea on Sunday
Arsenal youngster Alex Oxlade-Chamberlain has promised to attack Chelsea's defence on Sunday.
Despite injuries to many attackers, Chamberlain has vowed to attempt to beat the league leaders during Arsene Wenger's 1000th game in charge at Arsenal.
"We do understand what happened there last season," said Oxlade-Chamberlain. "Maybe we have got a point to prove there, we know this year we have got to step up in the big games and get some results in them this year.
"We're really looking forward to that game. We definitely give Chelsea the respect they deserve but, at the same time, I have belief in my team-mates and we do in ourselves to be able to go to a place like Chelsea and set the tempo and hopefully take control of the game. There will be times in the game I'm sure when they have a spell, because they are a top team.
"It's two good sides. They are going to have their time, we are going to have ours, we just have to make sure that when we do have our chances we make them count."
Dereva bodaboda atuhumiwa kumtorosha mwanafunzi
DEREVA wa pikipiki (bodaboda) Emanuel Kahemela aliyehukumiwa kifungo cha uangalizi kwa mwaka mmoja nje katika kesi ya kubaka kwa kuishi na binti (jina linahifadhiwa) mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Mlamke ya Halmashuri ya Manispaa Iringa, amemtorosha tena.
Kahemela, alimtorosha binti huyo kwa kipindi cha miezi mitatu na kwenda kuishi naye kinyumba kabla ya kukamatwa na kuhukumiwa kifunguo hicho ambacho alikiuka.
Akizungumza na Tanzania Daima, Yusuph Mwimbage, alisema Kahemela alifunguliwa kesi ya kubaka na polisi yenye namba IR/RB/5156/2014, ambayo ilifunguliwa katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa, ambako Hakimu John Mpitanjia alitoa hukumu hiyo.
Mwimbage, alisema baada ya hukumu hiyo Kihemela alirudi nyumbani kwa mlezi wa binti huyo Amina Mwimbage, ambako alifanya vurugu kisha kumtorosha tena binti huyo.
Alisema walipofuatilia mahakamani walibaini hukumu ilitolewa bila walezi wa binti huyo kuwepo hali inayozua shaka, kwa kuwa walipofuatilia walibaini kulikuwa na ujanja umefanyika kupunguza umri wa Kahemela, kutoka miaka 21 hadi 17.
Alisema ujanja huo ulifanywa kwa lengo la kumuepusha kijana huyo kuhukumiwa kama mtu mzima, kwa kuwa sheria inatambua umri wa mtu mzima unaanzia miaka 18.
“Sisi tunaomba ngazi za juu zilifuatilie suala hili maana tunaona haki inaminywa, binti yetu ameachishwa shule na kutoroshwa….hii si haki hata kidogo,” alisema.
Kahemela, alimtorosha binti huyo kwa kipindi cha miezi mitatu na kwenda kuishi naye kinyumba kabla ya kukamatwa na kuhukumiwa kifunguo hicho ambacho alikiuka.
Akizungumza na Tanzania Daima, Yusuph Mwimbage, alisema Kahemela alifunguliwa kesi ya kubaka na polisi yenye namba IR/RB/5156/2014, ambayo ilifunguliwa katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa, ambako Hakimu John Mpitanjia alitoa hukumu hiyo.
Mwimbage, alisema baada ya hukumu hiyo Kihemela alirudi nyumbani kwa mlezi wa binti huyo Amina Mwimbage, ambako alifanya vurugu kisha kumtorosha tena binti huyo.
Alisema walipofuatilia mahakamani walibaini hukumu ilitolewa bila walezi wa binti huyo kuwepo hali inayozua shaka, kwa kuwa walipofuatilia walibaini kulikuwa na ujanja umefanyika kupunguza umri wa Kahemela, kutoka miaka 21 hadi 17.
Alisema ujanja huo ulifanywa kwa lengo la kumuepusha kijana huyo kuhukumiwa kama mtu mzima, kwa kuwa sheria inatambua umri wa mtu mzima unaanzia miaka 18.
“Sisi tunaomba ngazi za juu zilifuatilie suala hili maana tunaona haki inaminywa, binti yetu ameachishwa shule na kutoroshwa….hii si haki hata kidogo,” alisema.
IMEWADIA
Hayawihayawi sasa yamekuwa ile siku kubwa na kuu iliyokuwa inasubiriwa sasa imewadia sabato ya wageni external. karibuni wote
Chelsea 3-0 Aston Villa: Match Report
Costa continues hot start in win
Diego Costa continued his remarkable start to life in the Premier League as Jose Mourinho celebrated his 250th match as Chelsea boss with a 3-0 defeat of Aston Villa.
Oscar put the Blues in front after seven minutes before Costa, selected despite his troublesome hamstring limiting him to one game a week, headed in after 59 minutes.
It was the Brazil-born Spain striker's eighth goal in his first six Premier League games, a tally second only to Micky Quinn's 10 with Coventry 22 years ago.
The clinical streak seems, initially at least, to fully justify the B#32million Chelsea paid Atletico Madrid in the summer, although Costa also missed chances against a stubborn Villa.
A third Chelsea goal came from Costa's saved shot as Willian netted before the Spain striker was taken off in the hope he can recover in time to feature in Tuesday's Champions League Group G clash at Sporting Lisbon.
Villa began the day in third, three points behind leaders Chelsea, who reverted to 10 of the side which began last Sunday's draw at Manchester City.
Only three were retained following the midweek Capital One Cup defeat of Bolton in Gary Cahill, Cesar Azpilicueta and Oscar, who took the place of Ramires (groin) from the City starting side.
The Brazil playmaker broke the deadlock after Branislav Ivanovic freed Willian down the right.
25 Septemba 2014
KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO EXTERNAL RATIBA
RATIBA NA TARATIBU ZA IBADA KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO EXTERNAL-UBUNGO DAR ES SALAAM | ||
Jumapili | 10:00am-13:00pm | Mazoezi ya kwaya ya kanisa UFUNUO |
2:00pm-4:00pm | Mazoezi ya kwaya ya vijana GENESISS | |
""****************************************************"" | ||
Jumatatu | 17:30pm-18:30pm | Masomoya uwakili |
""****************************************************"" | ||
Jumanne | 17:00pm-18:00pm | Mazoezi ya kwaya ya kanisa UFUNUO |
17:30pm-18:30pm | Masomo ya uwakili | |
""****************************************************"" | ||
Jumatano | --- | ------ |
17:30pm-18:30pm | Masomo ya uwakili na maombi | |
""****************************************************"" | ||
Alhamisi | -------- | --------- |
17:30pm-18:30pm | Masomo ya uwakili | |
""****************************************************"" | ||
Ijumaa | ----- | ----- |
17:00pm-18:00pm | Masomo ya uwakili,maombi na kufungua sabato | |
""****************************************************""> | ||
Jumamosi | 8:00am-9:00am | Mwongozo wa kujifunza biblia darasa la waalimu |
9:00am-9:15 | Kujifunza nyimbo za kitabuni | 9:15am-9:45am | Shule ya sabato sehemu ya kwanza |
9:45am-10:45am | Sule ya sabato sehemu ya pili ,mgawanyiko wa madarasa | 10:45am-11:00am | Matangazo ya kanisa kwa ujumla |
11:00am-12:30pm | Ibada kuu | 12:30pm-14:00pm | Mapumziko mafupi kwa ajili ya chakula cha kimwili |
14:00pm-15:00pm | Mazoezi ya kwaya | 15:00pm-17:00pm | Masomo ya mchana yanayo simamiwa na idara mbalimbali |
17:00pm-18:00pm | Kipindi cha maidara | 12:00pm | Somo fupi kwaajili ya kufunga sabato |
"""*****Kawishe the coder*****""" ----------------- """***KARIBUNI SANA***""" |
Tetesi za iPhone 6 kujipinda
Watafiti wamechanganyikiwa kuhusu ikiwa kampuni ya Apple inapaswa kutoa kauli yake kuhusu ripoti kuwa simu yake mpya ya iPhone 6 inajipinda mtumiaji anapoishi kuiweka ndani ya mfuko wa suruale yake.
Watu kadhaa ambao ni watumiaji wa iPhone 6 wamekuwa wakituma picha zao kwenye mtandao wa MacRumors ambazo zineonekana kuonyesha simu zao zikiwa na tatizo hilo.
Mwandishi wa habari kwenye mtandao wa 'Geek.com' pia aliripoti kuwa simu yake ye iPhone 6 imejipinda.
Na haijulikani nini hasa kinachoifanya simu hiyo kujipinda, baadhi wakisema huenda ni gamba lake ambalo limetengezwa kwa madini ya Aluminium ambalo linaifanya rahisi kwa simu hiyo kujipinda.
Taarifa za iPhone 6 kujipinda hazijaripotiwa tu kwenye blogu za habari za kiteknolojia bali pia kwenye vyombo vya habari kama Independent, the Washington Post, India Today na the Sydney Morning Herald.
Russell Holly, anayefanyia kazi mtandao wa habari wa geek.com,ni mmoja wa wale walioripoti kuwa simu yake imejipinda.
Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter, wametu moani yao kuhusu habari za simu hiyo kujipinda.
BBC ilijaribu kuwasiliana na Apple kuhusu ripoti hizo lakini haijasema chochote mpaka sasa.
Mmoja wa wataalamu wa maswala ya kiteknolojia, anasema kuwa kampuni ya Apple inapaswa kuchunguza malalamiko hayo na hata kutoa taarifa rasmi haraka iwezekanavyo.
Jasdeep Badyal anasema kuwa Apple inapaswa kujibu madai hayo na kisha ikiwa ni kweli, basi inapaswa kuchukua hatua ya kuwapa simu mpya watu walioripoti kuwa simu zao zimejipinda.
Aliongeza kuwa hata kama kulikuwa na simu kdhaa tu zenye tatizo hilo, kampuni hiyo inapaswa kutoa taarifa na kueleza kilichofanyika.
24 Septemba 2014
Jaja afuta kesi ya Okwi Fifa
Dar es Salaam. Kiwango cha juu kilichoonyeshwa na mshambuliaji Genilson Santos ‘Jaja’ kimefanya uongozi wa Yanga, kutupilia mbali wazo la kumshitaki Emmanuel Okwi kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa( Fifa).
Tangu aliposajiliwa na Yanga, Jaja ameonyesha kiwango cha juu cha ufungaji mabao akiwa amefunga mabao manne katika mechi sita alizocheza hadi sasa katika michuano mbalimbali.
Jaja aliwasahaulisha Wanayanga kabisa habari za Okwi wakati alipofunga mabao mawili ya ufundi wa hali ya juu katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam walioshinda 3-0.
Kwa mujibu wa taarifa ilizolifikia gazeti hili, zinasema kikao kilichofanyika wiki iliyopita kati ya wanasheria na baadhi ya wanachama wa Yanga wamemshauri mwenyekiti wao Yusuf Manji kuachana na jambo hilo kwa sasa.
“Ni ukweli ulio wazi hakuna mwanachama yeyote wa Yanga anayetaka Okwi arudi; kutaka kwenda Fifa ni kupoteza muda na fedha nyingi ambazo zingeweza kufanya vitu vingine vya maana. Okwi mwenyewe amekwisha, hizo Dola 60,000 alizochukua ni sadaka tumempa,” alisema mmoja wa viongozi wa Yanga ambaye hakupenda kutajwa jina.
Wakili wa Yanga, Sam Mapande alipoulizwa kuhusiaana na suala hilo alisema “Ni kama limeisha siwezi kulizungumza kwa undani Katibu Mkuu Beno Njovu ndiyo mwenye mamlaka ya kufanya hivyo.”
Naye Benno Njovu alipotafutwa kuhisana na suala hilo alisema “Unajua haya mambo ni ya kimahakama sasa kama kitu kipo mahakamani siwezi kukizungumzia.”
Alipoulizwa iwapo wameacha kwenda Fifa na badala yake wamekimbilia mahakamani, Njovu alisema, “Hata huko Fifa ni mtindo wa mahakama, nisingependa kuongelea kitu kilichopo mahakamani.”
Mwanzoni mwa mwezi huu, TFF kupitia kwa Kamati ya Sheria na Hadhi ya wachezaji chini ya Richard Sinamtwa ilimuidhinisha Okwi kuwa ni mchezaji huru na ana uwezo wa kujiunga na timu yoyote baada ya kubaini Yanga ilikiuka makubaliano ya mkataba na ilikuwa na lengo ya kumkomoa mchezaji.
Yanga iliingia kwenye mgogoro na mshambualiji huyo baada ya kushindwa kumtimizia mahitaji yake ya kimkataba ikiwa ni kummalizia deni lake la Dola 50,000 za usajili, nyumba na bima.
Tangu aliposajiliwa na Yanga, Jaja ameonyesha kiwango cha juu cha ufungaji mabao akiwa amefunga mabao manne katika mechi sita alizocheza hadi sasa katika michuano mbalimbali.
Jaja aliwasahaulisha Wanayanga kabisa habari za Okwi wakati alipofunga mabao mawili ya ufundi wa hali ya juu katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam walioshinda 3-0.
Kwa mujibu wa taarifa ilizolifikia gazeti hili, zinasema kikao kilichofanyika wiki iliyopita kati ya wanasheria na baadhi ya wanachama wa Yanga wamemshauri mwenyekiti wao Yusuf Manji kuachana na jambo hilo kwa sasa.
“Ni ukweli ulio wazi hakuna mwanachama yeyote wa Yanga anayetaka Okwi arudi; kutaka kwenda Fifa ni kupoteza muda na fedha nyingi ambazo zingeweza kufanya vitu vingine vya maana. Okwi mwenyewe amekwisha, hizo Dola 60,000 alizochukua ni sadaka tumempa,” alisema mmoja wa viongozi wa Yanga ambaye hakupenda kutajwa jina.
Wakili wa Yanga, Sam Mapande alipoulizwa kuhusiaana na suala hilo alisema “Ni kama limeisha siwezi kulizungumza kwa undani Katibu Mkuu Beno Njovu ndiyo mwenye mamlaka ya kufanya hivyo.”
Naye Benno Njovu alipotafutwa kuhisana na suala hilo alisema “Unajua haya mambo ni ya kimahakama sasa kama kitu kipo mahakamani siwezi kukizungumzia.”
Alipoulizwa iwapo wameacha kwenda Fifa na badala yake wamekimbilia mahakamani, Njovu alisema, “Hata huko Fifa ni mtindo wa mahakama, nisingependa kuongelea kitu kilichopo mahakamani.”
Mwanzoni mwa mwezi huu, TFF kupitia kwa Kamati ya Sheria na Hadhi ya wachezaji chini ya Richard Sinamtwa ilimuidhinisha Okwi kuwa ni mchezaji huru na ana uwezo wa kujiunga na timu yoyote baada ya kubaini Yanga ilikiuka makubaliano ya mkataba na ilikuwa na lengo ya kumkomoa mchezaji.
Yanga iliingia kwenye mgogoro na mshambualiji huyo baada ya kushindwa kumtimizia mahitaji yake ya kimkataba ikiwa ni kummalizia deni lake la Dola 50,000 za usajili, nyumba na bima.
Fans shower praise on Vodacom, EATV
Music stakeholders in the country have expressed their appreciation to Vodacom and East Africa Television (EATV), for successful coordination of Dance 100% competition.
Held on Saturday last week, the competition’s semi-finals saw five groups cruising into the finals.
The competition involved ten groups which were able to make to quarter-finals attracting attention of a great deal of city residents who turned out to watch young dancers at Don Bosco grounds in Dar es Salaam
‘As one of the music fans who have come to watch these competitions, I have enjoyed and learn a lot. I have been specifically attracted by extra ordinary dancing skills displayed by these young dancers,” said city resident, Ramadhani Malenge ‘Ramso’.
Malenge said the young dancers displayed outstanding skills in dancing a situation which vividly gave a hard time to the judges.
He noted that, even those who ended in semi finals displayed extra ordinary skill urging them to keep on working for their talents.
Malenge who introduced himself as a ‘crazy’ music fan said it was real a hard work to judge which group was the best, since they all displayed outstanding performance.
He said, programs involving of promotion of youth talents are very important as they give chance for youth to display their hidden talents and also to learn from others expressing his appreciation to EATV and Vodacom for remarkable sponsorship
He further noted that, the judges at the Don Bosco grounds will have a tough work to choose who the best is during the finals since all the groups are well prepared, competent and formidable.
The groups which were able to make to the finals include Wazawa Crew, Best Boys Crew, The W.T, Wakali Sisi and The Winners Crew.
Another thrilled fan who introduced herself as Blandina Kingu ‘Queen B’, apart from expressing her appreciation for the competition idea, she suggested that nomination should be done in all the regions before the finals in Dar es Salaam.
Happy Shame who is competition coordinator acknowledged the existence of stiff competition adding that the competition has been getting popularity year after year.
‘This is the third year that we are running this competition under sponsorship from Vodacom Tanzania. However, this time popularity is far away from previous years and in lot of talented young dancers have taken part,’ she said
She said, the group that will emerge the winner in the competition which is aired by EATV every Wednesday at 7:00pm will walk away with cash price worth 5m/-.
Vodacom Tanzania public relation manager Matina Nkurlu congratulated all the contesters and encouraged those who couldn’t make to the finals.
‘Vodacom believes that, youths are development catalyst in different sectors if they are prepared and empowered. Our sponsorship to this competition goes in line with that concept. This is an opportunity for youths to display their talents and get a chance to be seen and recognised and in the future they can be employed through their talents,’ he said.
He urged Dar es Salaam residents to turn out in good number in the finals adding that they will also enjoy Vodacom products in the likes of modem and Samsung E1205 that will be sold at 25,000/- only.
Held on Saturday last week, the competition’s semi-finals saw five groups cruising into the finals.
The competition involved ten groups which were able to make to quarter-finals attracting attention of a great deal of city residents who turned out to watch young dancers at Don Bosco grounds in Dar es Salaam
‘As one of the music fans who have come to watch these competitions, I have enjoyed and learn a lot. I have been specifically attracted by extra ordinary dancing skills displayed by these young dancers,” said city resident, Ramadhani Malenge ‘Ramso’.
Malenge said the young dancers displayed outstanding skills in dancing a situation which vividly gave a hard time to the judges.
He noted that, even those who ended in semi finals displayed extra ordinary skill urging them to keep on working for their talents.
Malenge who introduced himself as a ‘crazy’ music fan said it was real a hard work to judge which group was the best, since they all displayed outstanding performance.
He said, programs involving of promotion of youth talents are very important as they give chance for youth to display their hidden talents and also to learn from others expressing his appreciation to EATV and Vodacom for remarkable sponsorship
He further noted that, the judges at the Don Bosco grounds will have a tough work to choose who the best is during the finals since all the groups are well prepared, competent and formidable.
The groups which were able to make to the finals include Wazawa Crew, Best Boys Crew, The W.T, Wakali Sisi and The Winners Crew.
Another thrilled fan who introduced herself as Blandina Kingu ‘Queen B’, apart from expressing her appreciation for the competition idea, she suggested that nomination should be done in all the regions before the finals in Dar es Salaam.
Happy Shame who is competition coordinator acknowledged the existence of stiff competition adding that the competition has been getting popularity year after year.
‘This is the third year that we are running this competition under sponsorship from Vodacom Tanzania. However, this time popularity is far away from previous years and in lot of talented young dancers have taken part,’ she said
She said, the group that will emerge the winner in the competition which is aired by EATV every Wednesday at 7:00pm will walk away with cash price worth 5m/-.
Vodacom Tanzania public relation manager Matina Nkurlu congratulated all the contesters and encouraged those who couldn’t make to the finals.
‘Vodacom believes that, youths are development catalyst in different sectors if they are prepared and empowered. Our sponsorship to this competition goes in line with that concept. This is an opportunity for youths to display their talents and get a chance to be seen and recognised and in the future they can be employed through their talents,’ he said.
He urged Dar es Salaam residents to turn out in good number in the finals adding that they will also enjoy Vodacom products in the likes of modem and Samsung E1205 that will be sold at 25,000/- only.
Kili Music Tour yafanya kweli Tanga
Tamasha la Kili Music Tour linalodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager limeacha gumzo kubwa Tanga huku wasanii walioshiriki ziara ya muziki ya Kilimanjaro, inayotia nanga wiki hii katika viwanja vya Leaders kwa nyakati tofauti wamekiri kwamba kila mmoja kwa njia yake amejifunza makubwa katika ziara hiyo ambayo wengi wameitaja kuwa ni ziara namba moja kwa ubora
Wakiongea na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti mara baada ya kushuka jukwaani wasanii hao waliisifu ziara hiyo kwanza kwa kuwa ni ziara inayowaweka wasanii kwenye hadhi lakini pia ni ziara ambayo ina mpangilio wa kueleweka.
Waliongea katika tamasha kubwa lililofanyika katika Uwanja wa Mkwakwani ambako maelfu ya mashabiki walijitokeza na kupata burudani ya aina yake iliyodumu kwa zaidi ya saa saba huku ikiwa na msisimko kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Kwa upande wake Omary Nyembo au Ommy Dimpoz kama alivyozoeleka kuitwa na mashabiki wake, amesema Kili ni ziara iliyomuweka karibu na mashabiki wake wa kipato cha chini baada ya kuwa ni ziara yenye viingilio vya chini iliyohusisha wasanii wakubwa nchini.
Rich Mavoko, nyota wa wimbo unaotamba sasa hivi wa 'Roho Yangu' aliwaambia waandishi wa habari kwamba mwisho wa ziara hiyo ndiyo mwanzo wa kujipanga kwake kwa ajili ya ziara ya mwakani na ameahidi kurudi vingine huku akiwa ameongeza nguvu katika utendaji wake jukwaani.
Joseph Haule au Profesa Jay aliisifia ziara hiyo na wadhamini wake, Kilimanjaro Premium Lager kwa kuandaa ziara ya kizalendo ambayo imekuwa ikizunguka nchi nzima kuwanadi wasanii wa nyumbani na kuwakutanisha na mashabiki wao bila kuangalia faida, bali kuhakikisha muziki nwa Kitanzania unafika katika kilele cha mafanikio.
Kundi la muziki la Weusi lililo na wanamuziki watatu; Joh Makini, Nikki wa Pili na G Nako, wakiwakilishwa na msemaji wao Nikki wa Pili kwa upande wao waliishukuru kampuni ya Bia Tanzania kwa kuwapa nafasi ya kupanda katika majukwaa ya mikoa yote Tanzania ambako wamefanikiwa kuwaonesha mashabiki wao uwezo wao kikazi lakini pia wamejenga mahusiano na wadau.
Wasanii walioshiriki tamasha hilo ni pamoja na Ommy Dimpoz, Rich Mavoko, Ben Paul, Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Profesa Jay na Weusi.
Kili Music Tour inaratibiwa na East Africa Radio na Tv, Executive Solutions, Integrated Communications, Aggrey & Clifford na Aim Group.Baada ya kuzunguka mikoa tisa, Jumamosi ijayo ni zamu ya Dar es Salaam ambako ziara hii itahitimishwa kwa kishindo.
Waziri Mkuu akutana na madaktari wa kujitolea toka ujerumani
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Madaktari kutoka Ujerumani ambao wako kwa muda katika Hospitali ya Kristo Mfalme ya Mjini Sumbawanga ambayo inamilikiwa na Kanisa Katoliki.
Diamond platnumz
Asikudanganje mtu eti ni kipaji tu, Hapana! ni juhudi pia, Heshima na kumtanguliza mwenyezi mungu mbele.... kumbuka hata mimi kabla ya mwaka 2009 nilisha toa zaidi ya Nyimbo 8, lakini zoke zikafeli... ila sikuzote nilijikaza na kujifunza kupitia makosa na hadi leo kufikia Hapa... #USICHOKE #Kwani_Ye_Aliwezaje
Chui Buka amuua mwanafunzi India
Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wanyamapori ya Delhi. Msimamizi wa mbuga hiyo Riaz Khan amesema mvulana huyo alikuwa amevuka ua unaomfungia Chui huyo hatari.
Ripoti za mwanzoni zilimtaja mvulana huyo kuwa mwanafunzi. Picha za televisheni zilionyesha mwanafunzi huyo akiwa amejibana ukutani akijaribu kujikinga huku Chui huyo akiwa amesimama karibu naye.
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo, mvulana huyo alikuwa amejiegemeza kwenye ua huo uliokuwa mfupi sana.
''Mwendo wa saa saba unusu tulikuwa katika eneo lililo na wanyama wengine tuliposikia mayowe," Himanshu aliyeshuhudia tukio hilo aliambia CNN.
''Nilikimbia nikielekea eneo ambalo Chui huyo alikuwa amefungiwa, nikapata Chui Buka mweupe amemuuma mwanafunzi huyo shingoni huku akilia na kufurukuta kwa uchungu.
Watoto wengine walijaribu kumrushia chui huyo vijiti na mawe. Mvulana huyo aliumia kwa zaidi ya dakika kumi bila yeyote kumsaidia" Himanshu alisema polisi walifika ''haraka sana" lakini hawangeweza kumwokoa kijana huyo.
Kituo cha habari cha Reuters kilimnukuu mwelekezi wa hifadhi ya kitaifa ya wanyamapori ambayo inasimamia mbuga ya Delhi bw. Amitabh Agnihotri, akisema ameshtuliwa sana na kisa hicho.
''Bado sina uhakika kama kijana huyo aliruka ndani ya mbuga ama aliteleza kibahati mbaya," aliongeza.
Mwili huo umepelekwa kufanyiwa upasuaji ili kuthibitisha kilichotendeka huku polisi wakianzisha uchuguzi kuhusu tukio hilo.
Ebola:Wahudumu wengine washambuliwa
Shirikisho la kimataifa la msalaba mwekundu, limesema kuwa kikundi kingine cha wahudumu wa afya kilishambuliwa Jumanne Kusini Mashariki mwa Guinea walipokuwa wanakusanya miili ya watu waliofariki kutokana na Ebola.
Mfanyakazi mmoja wa shirika hilo, anauguza majeraha baada ya kujeruhiwa vibaya katika shambulizi hilo katika eneo la Forecariah.
Kulingana na mkazi mmoja, jamaa wa wagonjwa waliofariiki walianza kuwashambulia wafanyakazi hao sita wa kujitolea , na kuharibu magari yao pamoja na kuwashambulia kwa mawe wafanyakazi hao.
Huu ni uvamizi wa hivi karibuni dhidi ya wahudumu wa afya ambao bila shaka unatatiza juhudi za kupambana na ugonjwa huo mkali.
Wiki jana madaktari wengine na wandishi wa habari walishambuliwa Magharibi mwa nchi hiyo.
Chombo cha India chatua Mars
Wanasayansi wa anga za juu nchini India wanasema kuwa chombo chao cha safari za anga za juu kwa sasa kinazunguka sayari ya Mars.
Hii ndiyo mara ya kwanza kwa India kutuma mtambo wake kwenda kwa sayari hiyo, safari ambayo imepata umaarufu kutokana na gharama yake ya chini kabisa ya dola milioni 75 pekee.
India ndilo taifa la nne duniani kufaulu kufikisha chombo katika sayari ya Mars.
Mataifa mengine ambayo yamewasilisha vyombo vya utafiti wa anga za juu katika sayari hiyo ni Marekani Urusi na muungano wa mataifa ya Ulaya.
Chombo hicho ''The Mangalyaan robotic probe'' kinatarajiwa kuanza upekuzi na uchunguzi wa hali ya anga katika sayari hiyo nyekundu.
Waziri muu nchini India Narendra Modi ambaye alishuduia mafaniko ya chombo hicho kilichoanza safari yake miezi kumi iliyopita aliwapongeza wanaayansi hao kwa ufanisi huo mkubwa.
Aliwaambia kuwa mafanikio ya safari za anga za ju nchini India ni mfano mwema wa hatua ambazo taifa hilo linaweza kupiga akisema kuwa ana mpango wa kuboresha kitengo hicho.
Shirikisho la anga za mbali la Marekani NASA ambalo lilifikisha chombo chake ''Maven'' katika sayari ya Mars Jumatatu wiki hii, liliwapongeza wanasayansi wa India kwa ufanisi wao.
Kupitia kwa ujumbe wa mtandao wa Twitter NASA iliandika kuwa ''Tunawapongeza @ISRO kwa kuwasili katika sayare ya Mars .Mtajiunga na @MarsOrbiter kutathmini hali ilivyo katika sayare hiyo.
Hii ndiyo mara ya kwanza kwa India kutuma mtambo wake kwenda kwa sayari hiyo, safari ambayo imepata umaarufu kutokana na gharama yake ya chini kabisa ya dola milioni 75 pekee.
India ndilo taifa la nne duniani kufaulu kufikisha chombo katika sayari ya Mars.
Mataifa mengine ambayo yamewasilisha vyombo vya utafiti wa anga za juu katika sayari hiyo ni Marekani Urusi na muungano wa mataifa ya Ulaya.
Chombo hicho ''The Mangalyaan robotic probe'' kinatarajiwa kuanza upekuzi na uchunguzi wa hali ya anga katika sayari hiyo nyekundu.
Waziri muu nchini India Narendra Modi ambaye alishuduia mafaniko ya chombo hicho kilichoanza safari yake miezi kumi iliyopita aliwapongeza wanaayansi hao kwa ufanisi huo mkubwa.
Aliwaambia kuwa mafanikio ya safari za anga za ju nchini India ni mfano mwema wa hatua ambazo taifa hilo linaweza kupiga akisema kuwa ana mpango wa kuboresha kitengo hicho.
Shirikisho la anga za mbali la Marekani NASA ambalo lilifikisha chombo chake ''Maven'' katika sayari ya Mars Jumatatu wiki hii, liliwapongeza wanasayansi wa India kwa ufanisi wao.
Kupitia kwa ujumbe wa mtandao wa Twitter NASA iliandika kuwa ''Tunawapongeza @ISRO kwa kuwasili katika sayare ya Mars .Mtajiunga na @MarsOrbiter kutathmini hali ilivyo katika sayare hiyo.
23 Septemba 2014
RASIMU YA KATIBA
Hatimaye rasimu ya mabadiliko ya katiba yakamilika na sasa inaelekea bungeni kwa ajili ya kupitishwa
BABA NA MWANA!!
Mzazi mmoja alikuwa akiongea na mwanae na mazungumzo yao yalikuwa kama hivi:-
Baba: Mwanamgu shika hii pesa Sh. 5000/= usimwambie mama yako kama nimelala kwa housegirl
Mtoto: Tatizo wewe baba mbakhili mama alipolala na dereva kanipa 100000/=
Baba: Eee….unasema vipi?
Baba: Mwanamgu shika hii pesa Sh. 5000/= usimwambie mama yako kama nimelala kwa housegirl
Mtoto: Tatizo wewe baba mbakhili mama alipolala na dereva kanipa 100000/=
Baba: Eee….unasema vipi?
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)