29 Novemba 2014
Sunderland 0-0 Chelsea: Five reasons why the Blues drew a blank at the Stadium of Light
Bunge laahirishwa mara mbili kutafuta mwafaka maazimio ya PAC
Dodoma. Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania limeongeza muda wake na kusitisha vikao vyake mara mbili ili kutafuta muafaka juu ya andikaji wa maazimio yatakayotumiwa kuwawajibisha wale wote waliohusika na kashfa ya Escrow.
'Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
CAG, Takukuru, TRA: Fedha za Escrow za umma
Kikao cha Bunge chavunjika, Vurugu zatawala ukumbini
Vurugu hizo zilianza saa 04:42 usiku hadi saa 04:49 usiku wakati Spika Anne Makinda alipolazimika kuahirisha Bunge hadi leo saa tatu asubuhi.
27 Novemba 2014
Petr Cech in no rush to leave Chelsea
The keeper is prepared until next summer for the right offer
Petr Cech is not in any hurry to move on from Stamford Bridge in the hope of finding first team football, the stopper's agent has said he could wait until next summer for the right move to come along.
The Czech has recently been linked with a move away in January after losing the number one spot he has held for many years.
Thibaut Courtois returned from his loan at Athletico Madrid in the summer and has been Mourinho's preferred choice ever since.
Althought after recent rumours, Mourinho put to bed the chance that Cech would be sold during January, this having since been backed up by Cech's agent, Viktor Kolar.
Kolar said: "In the football world you can never rule anything out definitively, however, if you put together the facts with Petr's ambitions of a top-class goalkeeper, you will not be left with too many options."
"If we add to this the actual little need of these few clubs to search a new goalkeeper in the winter's transfer window, then you will find out that the chance of a transfer in the next weeks or months is not very high."
Turkish side Besiktas are said to be one of the many sides monitoring Cech, with Fikret Orman, the club president, revealing he would be keen to sign him.
MAJINA YA WATU WALIOHUSIKA NA ESCROW

26 Novemba 2014
Siku ya hukumu
Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ
AJALI MUHEZA TANGA
25 Novemba 2014
Ni gharika kwa watu zaidi ya 50 sakata la Escrow
ESCROW, MAHAKAMA YAVUNJA UKINYA
chanzo cha habari radio one
Zitto: Maisha yetu hatarini
Ulinzi mkali mdahalo wa Jaji Warioba leo
Kikwete arejea jumamosi
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ilisema jana kuwa taratibu hizo zilikamilika saa 12 asubuhi jana, baada ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Johns Hopkins kumfanyia hatua ya mwisho ya tiba.
Hata hivyo, Rais Kikwete ataendelea kupumzika na kuangaliwa kwenye Hoteli Maalumu inayohusiana na Hospitali ya Johns Hopkins kwa siku mbili hadi tatu kabla ya kuanza safari ya kurejea nyumbani.
Rais Kikwete aliondoka nchini Alhamisi ya Novemba 6, 2014, kwenda kufanyiwa uchunguzi wa afya yake lakini madaktari katika Hospitali ya Johns Hopkins waliamua kumfanyia upasuaji wa tezi dume Jumamosi ya Novemba 8, 2014.
Taarifa hiyo ilisema Rais Kikwete anaendelea kuwashukuru Watanzania kwa sala na maombi yao ya kumtakia heri ya kupona haraka na kurejesha afya njema katika kipindi chote cha ugonjwa wake.
Mkono asimulia alivyonusurika kifo London
23 Novemba 2014
Ugonjwa wa tauni wawaua 40 Madagascar

Mtikisiko! Serikali, CCM wahamia Dodoma. Pinda, Kagasheki watoleana uvivu
22 Novemba 2014
ESCROW YAPASUA VICHWA-yafichua mazito
WAKATI Bunge likijiandaa kusomewa ripoti ya uchunguzi wa Akaunti ya Escrow bungeni Mjini Dodoma, ripoti hiyo imezidi kuwapasua vichwa wabunge baadhi yao wakienda mbali zaidi na kudai wamebaini ukweli wa fedha hizo.
21 Novemba 2014
KNOW MORE ABOUT YOUR COUNTRY
Geography, climate and population
The United Republic of Tanzania consists of the mainland
and Zanzibar, which is made up of the islands Unguja and Pemba. Its
total area is 945 090 km2. The country is bordered in the
north by Kenya and Uganda, in the east by the Indian Ocean, in the south
by Mozambique and in the west by Rwanda, Burundi, the Democratic
Republic of the Congo and Zambia. The Indian Ocean coast is some 1 300
km long, while in the northwest there are 1 420 km of shoreline on Lake
Victoria, in the centre-west there are 650 km of shoreline on Lake
Tanganyika and, in the southwest, 305 km of shoreline on Lake Malawi.
IRRIGATION IN TANZANIA
- Analysts say the National Irrigation Act 2013 should give the country’s agriculture sector a new lease of life, in the face of changing weather patterns.
- Minister for Agriculture, Food Security and Co-operatives Christopher Chiza told MPs that the new law would pave the way for the country to use its available land resources for the sustainable development of irrigation.
- The country has 29.4 million hectares of land that could be irrigated, of which only 589,245 are currently under irrigation.
20 Novemba 2014
KWANINI UKOSE KINAJIRI BUNGENI????????

Saa tatu kamili asubuhi usikose
Ukawa wafichua njama za kuizima IPTL bungeni
Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?
Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.
Mwanza kwachafuka tena
Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000
Baada ya Sekta Binafsi kuendesha sekta ya reli pasi na mafanikio ya kuridhisha, mwaka 2011, Serikali iliamua kutengua rasmi mkataba wake na Kampuni ya Reli ya India ya Rites.
19 Novemba 2014
Watendaji waliohujumu fedha kukiona
Mufindi. Watumishi wa Wilaya ya Mufindi wanaotuhumiwa kutafuna fedha za halmashauri hiyo, watajulikana Novemba 24 mwaka huu baada ya kufanyika kwa kikao cha kamati ya fedha.
Kenya, India zaipiku Tanzania mauzo ya tanzanite
18 Novemba 2014
17 Novemba 2014
Daktari apiga wagonjwa Ngara
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
Mabilioni escrow mali ya umma
Jaji Warioba ni shujaa atakayeheshimika vizazi vijavyo
Viongozi wa vyama vya upinzani, fursa hizo mnaongezewa kuwafikishia ujumbe wananchi. Mshindwe tu wenyewe kuufikisha ujumbe huo kwa wenye nchi, halafu msiwageuke wananchi na kuanza kuwalaumu kama ujumbe wenu hauwafikii ipasavyo.
Watanzania sio wapumbavu wala sio wajinga. Mwalimu Nyerere alipozunguka nchi nzima kutafuta uhuru walimuelewa vizuri sana na matokeo yake yalionekana.
Nyinyi pia nendeni kwa wananchi hao hao, waelezeni yote upungufu uliopo waelewe. Wao pekee ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Tumieni fursa hizi vizuri kuwaelimisha wananchi.
Meno ya tembo yawatupa wawili jela miaka 20
Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Ilala imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela au kulipa faini ya Sh5 milioni kila mmoja watu wawili baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na meno ya tembo kinyume cha sheria.
13 Novemba 2014
Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
Dar es salaam
. Mtoto Nuru Mohamedi (7) ameuawa kikatili na kisha mwili wake kutelekezwa kwenye nyumba ambayo haijakamilika ujenzi iliyo Majohe Kichangani mjini hapa.
10 Novemba 2014
Sociedad wamwita Moyes
TAMKO: Ikulu: Tumefedheheshwa Jaji Warioba kushambuliwa
Kikwere afanyiwa upasuaji marekani
Mbowe ‘amwaga sumu’ nyumbani kwa Sitta
07 Novemba 2014
CHRISTIANO RONALDO
At 6'1, you might think Cristiano Ronaldo would be happy with his height. We have pictorial evidence that proves otherwise. He's been fooling pre-match photographers for a while
Cristiano Ronaldo is the player - actually, the man - with everything. Pace, strength, goalscoring ability, loads of money, a beautiful WAG… he couldn't possibly feel insecure about anything, could he?
Apparently, he could. Despite being the not inconsiderable height of 6'1, the world's greatest footballer has been caught on camera trying to grab himself a couple of extra inches. Several times, in fact.
No, not like that.
Check out this compilation of recent Real Madrid team photos:
It seems being the best isn't enough. Cristiano needs to be the biggest too…
'Hazard is our best player', says Mourinho
Chelsea manager, Jose Mourinho, has revealed who he thinks is the club's best player, and he has picked Eden Hazard, despite the Belgium missing a crucial penalty last night.
06 Novemba 2014
AJALI MBEYA
Ajali nyingine imetokea huko mbeya maeneo ya maeneo ya mbalali gari la abiria kwa jina happy nation lenye namba 481 ARR linalotoka mbeya kuja dar baada ya basi hilo kupasuka tairi la mbele upande wa kulia na kusababisha basi hilo kuacha njia na kumgoga mwendesha baiskeli na kisha kupinduka 37wameripotiwa kujeruhiwa na takribani watu 4 wahusishwa kuwa wameruhiwa vibaya sana na wanendelea kupata matibabu. Tutaendelea kuawajulisha kila kinachoendelea
Revealed: Who got paid the Sh201bn escrow cash
12 WAFARIKI 30 MAJERUHI
Ajali iliyotokea huko morogoro baada ya basi kwa jina ALJABIR kugongwa na treni kwa nyuma saa tisa alasiri. Chanzo ni baada ya gari kupoteza uelekeo na kuelekea kwenye njia ya treni kumi na mbili wapoteza maisha takribani watu thelathini waripotiwa kuwa na majeraha. miili ya marehu imehifadhiwa kwenye hospitali ya St. Francis huko morogoro na majeruhi wanaendelea kupata matibabu
04 Novemba 2014
Yaone haya katika siasa yetu Tanzania
Dar/mikoani. Rais Jakaya Kikwete amesema anaomba yasimkute ya Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba aliyeshambuliwa katika mdahalo wa katiba uliofanyika Dar es Salaam, juzi.
03 Novemba 2014
Hapa ndipo siasa ya tanzania ilipofika-Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka
Tukimbilie wapi jangalingine homa ya Lassa haijatiliwa maanani
Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba
Katika mazingira ya kutatanisha, siku ya Jumapili vurugu zimekatisha mdahalo uliokuwa ukiendelea kujadili mchakato wa katiba mpya ya Tanzania huku baadhi ya watu wakipigwa na kujeruhiwa.
02 Novemba 2014
Man city yatoa kipigo kwa man u
USAFIRI DAR NI HATARI
Dar es Salaam. Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini baada ya kubainika kuwa kwenye magari ya abiria maarufu daladala ya jijini humo, yanayotoa huduma za usiku kwa safari za kwenda na kutoka maeneo mbalimbali yamekuwa yakihusishwa na mtandao wa vibaka unaoendesha vitendo vya uporaji na ukabaji.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)