06 Novemba 2014

12 WAFARIKI 30 MAJERUHI

Ajali iliyotokea huko morogoro baada ya basi kwa jina ALJABIR kugongwa na treni kwa nyuma saa tisa alasiri. Chanzo ni baada ya gari kupoteza uelekeo  na kuelekea kwenye njia ya treni  kumi na mbili wapoteza maisha takribani watu thelathini waripotiwa kuwa na majeraha. miili ya marehu imehifadhiwa kwenye hospitali ya St. Francis huko morogoro na majeruhi wanaendelea kupata matibabu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728