17 Novemba 2014

Jaji Warioba ni shujaa atakayeheshimika vizazi vijavyo

Jaji Warioba ni shujaa hana sababu yoyote ya kuona aibu. Asikate tamaa bali tukio kama hili ndio liwe kichocheo kwake, kuweka juhudi zaidi katika kuwaelimisha wananchi waielewe vizuri katiba inayopendekezwa, ili iwarahisishie kufanya uamuzi sahihi wakati wa kuipigia kura.
Viongozi wa vyama vya upinzani, fursa hizo mnaongezewa kuwafikishia ujumbe wananchi. Mshindwe tu wenyewe kuufikisha ujumbe huo kwa wenye nchi, halafu msiwageuke wananchi na kuanza kuwalaumu kama ujumbe wenu hauwafikii ipasavyo.
Watanzania sio wapumbavu wala sio wajinga. Mwalimu Nyerere alipozunguka nchi nzima kutafuta uhuru walimuelewa vizuri sana na matokeo yake yalionekana.
Nyinyi pia nendeni kwa wananchi hao hao, waelezeni yote upungufu uliopo waelewe. Wao pekee ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Tumieni fursa hizi vizuri kuwaelimisha wananchi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728