27 Februari 2015
MAN UNITED
MUGABE

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kesho atafanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 91 kwa kuchinja tembo wawili. Sherehe hizo zitafanyika kwenye mji wa Victoria Falls na zinaandaliwa na chama tawala ZANU-PF kinataka kukusanya dola za Kimarekani milioni 1 kwa ajili ya sherehe ya kesho. Wageni wapatao 20,000 wanatarajiwa kuhudhuria. Hata hivyo, mashirika ya kutetea ulinzi wa wanyama pori yamemkosoa Mugabe, wakisema haiwezekani akakemea uharamia wakati yeye mwenyewe anaamuru wanyamapori wachinjwe. Pamoja na hayo baadhi ya raia wa Zimbabwe wanakerwa na uamuzi wa rais wao kufanya sherehe kubwa kama hiyo, wakati wananchi wake wengi ni maskini.
UZINDUZI WA KIVUKO
Leo Dkt.Magufuli amewaongoza wananchi wa Dsm kwenye majaribio ya uzinduzi wa Kivuko kipya Cha MV DAR ES SALAAM kitakachofanya safari zake kati ya Dsm na Bagamoyo, ambapo mamia ya wananchi wakiongozwa na Waziri Magufuli wamesafiri bure kutoka Dsm kwenda Bagamoyo na kurudi.
26 Februari 2015
Mchinjaji wa IS 'Jihadi John' atambuliwa
Mwanaume ambaye amekuwa akitekeleza mauaji ya mateka wa kundi la wapiganaji wa Islamic State ajulikanaye kwa jina la utani "Jihadi John",ametambuliwa.
24 Februari 2015
TANZANIA NA KENYA KUTATUA MZOZO WA KITALII
Maafisa wa serikali kutoka Tanzania na Kenya watakutana mjini Arusha mwezi ujao ili kutafuta suluhu ya kutatua mzozo kuhusu marufuku ya magari ya kitalii kutoka Tanzania kuingia katika uwanja wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tangu Disemba mwaka uliopita.
Gossip column: Messi, Koke, Riordan, Sterling, Van Gaal
Former Barcelona defender Eric Abidal believes former team-mate Lionel Messi, 27, may be tempted to leave the Nou Camp for a new challenge - with Paris St-Germain a possible destination. (TF1 - French).
Tuesday's Independent back page
Manchester City boss Manuel Pellegrini hopes to scupper Chelsea and Manchester United's plans to sign Real Madrid midfielder Koke, 23.
23 Februari 2015
Machafuko Ukraine yatazusha vita:Putin
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema machafuko Mashariki mwa Ukraine yanaleta wasiwasi wa kuweza kuzuka kwa vita na mwendelezo wa mzozo.
Duniani kuna mambo Kukatwa vidole ilikuomboleza mpendwa wako
Duniani kuna afua mbili. Kufa au kupona.
Jamii nyingi hutofautiana jinsi wanavyomkaribisha mwana wao humu duniani na pia jinsi wanavyopuaga anatangulia mbele ya haki.
Chelsea yakata rufaa

Chelsea watakata rufaa kupinga kadi nyekundu aliyooneshwa Nemanja Matic katika mchezo dhidi ya Burnley siku ya Jumamosi uliomalizika kwa 1-1. Kiungo huyo kutoka Serbia, alioneshwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma Ashley Barnes, baada ya kukabwa na mshambuliaji huyo wa Burnley.
Nyaraka za siri zamuumbua,Netanyahu
Nyaraka za siri zilizochapishwa na gazeti la Guardian la London ambazo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alizihusisha na mpango wa nyuklia wa Iran 2012 imebainika kuwa madai hayo hayakuungwa mkono na idara za usalama za Israel.
Kenya’s President Says Adventist Church Is Transforming Country
Kenya’s president has praised the Seventh-day Adventist Church as a major force in improving the African country and donated $22,000 toward a new health science building at the Adventist University of Africa.
President Uhuru Kenyatta, speaking at a fundraising event for the university building in Rongai, Kenya, said he was grateful for the church’s work in many education and health institutions across the country.
Kenyan President Uhuru Kenyatta. Photo: Kenya government / Wikicommons
MATUKIO YA KINYAMA DHIDI YA NDUGU ZETU MAALBINO

sisi bado twahitaji kishi.. pamoja na kukatwa viungo vyetu
hatuna uwezo wowote wa kufanya chochote...
Lakini mioyo yetu haina furaha .....
hatuna uwezo wowote wa kufanya chochote...
Lakini mioyo yetu haina furaha .....
MWANZA

16 Februari 2015
MAN U
Scott Laird had given Preston a shock lead at the beginning of the second-half when his deflected drive went through David de Gea.
However, Ander Herrera hauled the visitors level on 65 minutes when he fired home only his fourth goal for the club.
Marouane Fellaini put Louis van Gaal's men ahead midway through the second period before Wayne Rooney's late penalty sealed their spot in the last eight.
KNOW ABOUT DIEGO COSTER
BOKO HARAM
Marekani inasema inatafuta njia za kujihusisha zaidi katika vita dhidi ya kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria.
Naibu kamanda wa wanajeshi wa Marekani barani Afrika, luteni jenerali Stephen Hummer anasema tayari Marekani inashirikiana na Nigeria katika kutoa ripoti za ujasusi katika vita hivyo.
Kamanda huyo alikuwa akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya vikosi hivyo nchini Ujerumani
Dola la Kiislamu laua Wakristo 21 Libya
Jeshi la Misri limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya vituo vya Dola la Kiislamu nchini Libya, baada ya kundi hilo kusambaza video mtandaoni inayoonyesha Wakristo 21 kutoka Misri wakichinjwa.
AL-SHABAB
Wadau naomba sasa niwape ukweli wa kinachojiri Tanga kuhusu sakata la Al Shabab.
Yapata wiki moja Polisi walimkamata mtuhumiwa mmoja anajulikana kwa jina la Master ambae inasemekana ndiye aliyekuwa akiratibu uporaji wa silaha vituo vya polisi na polisi wenyewe. Matukio haya yametokea kule Ikwiriri Rufiji Pwani baada ya kituo kuvamiwa na Tanga Chumbageni kwa askari kuporwa silaha wakiwa katika doria.
15 Februari 2015
Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume
Waliowajeruhi polisi TZ wasakwa
Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuwa walijificha eneo moja nje ya mji wa Tanga wakiwa na silaha.
Awali kulizagaa taarifa na hofu kuwa wahusika walikuwa na itikadi za kigaidi, lakini taarifa ya maandishi iliyotolewa na polisi imewaita watu hao kuwa ni majambazi na kwamba msako wa kuwatafuta unaendelea.
Hata hivyo taarifa haikuleleza wanaotafutwa ni watu wangapi, ingawa imetaja kuhusika kwa jeshi lenye silaha jambo linaloashiria mapambano yalikuwa makali.
DIAMOND PLATNUM

Mimi kama bwana, wajibu wangu ni kuhakikisha Mpenzi wangu anakula vizuri, anavaa vizuri, analala vizuri, na kumuwezesha mtaji wa kufanyia kazi. Waswahili wanasema Mchungaji bora anatakiwa kuhakikisha anampeleka Ng'ombe wake Kwenye Maji safi....ila yeye ng'ombe mwenyewe ndio anatakiwa aamue kunywa maji!!!!! Au mnataka nikishampa mtaji niache kufanya na show tena na kuigiza nimuigizie mie ???? Nisiende Studio nikae dukani nimuuzie mie????.. ni juhudi zako kwanza!... leo hii mimi Hata ningepewa Mamilioni ya mamilioni kama nisingekuwa na moyo wa mie mwenyewe kwanza kutaka kujituma na kupenda kufanya kazi yangu nisingefikia hapa nilipo!....Mxieeeeeeeew!
11 Februari 2015
NJE YA NCHI

Mauaji ya wanafunzi waislam yazua hisia
Je unalala vya kutosha??

10 Februari 2015
08 Februari 2015
CHECK OUT AFRICAN CHAMPIONEE 2015
Ivory Coast win 9-8 on penalties
By Ian HughesBBC Sport
Ivory Coast won the Africa Cup of Nations with a dramatic 9-8 penalty shootout victory over Ghana.
Keeper Boubacar Barry saved a penalty then scored the winning spot-kick, the game having finished goalless after extra-time in Bata, Equatorial Guinea.
Barry seemed to be suffering from cramp during a shootout in which five penalties were missed.
But the 35-year-old's heroics gave the Ivorians their second title, in a repeat of the 1992 final.
Twenty-three years ago, Ivory Coast lifted their first trophy when they beat Ghana 11-10 on penalties after a goalless draw.
And they will be delighted to have emulated the feat at their third attempt, having been beaten on penalties in 2006 and 2012 - the latter of which they lost to Zambia, who were then coached by Herve Renard.
Ivory Coast's players celebrate winning the Africa Cup of Nations
The Frenchman's success as coach of the Elephants makes him the first man to win the title with two countries.
In contrast, Ghana coach Avram Grant has now suffered defeats on penalties in two major finals, after losing the 2008 Champions League to Manchester United when he was Chelsea boss.
Yet it looked like the Black Stars might end their 33-year wait for a fifth Cup of Nations title when Ivory Coast missed their first two spot-kicks - Manchester City's new signing Wilfried Bony hit the crossbar and substitute Junior Tallo dragged wide with his first touch of the game.
But Afriyie Acquah and Frank Acheampong failed with their efforts for Ghana and the sides were back on level terms.
After every outfield player had taken his turn, Barry brilliantly saved keeper Brimah Razak's effort.
Having annoyed some of the Ghana players when he delayed their kicks because of cramp, Barry slotted home and was then mobbed by his team-mates.
Defeat was perhaps a little harsh on Ghana who had the better of the chances in the match and twice hit the woodwork.
Christian Atsu was unlucky to see a superb 25-yard shot come back off the keeper's left-hand post, while Andre Ayew struck the outside of the other upright from a tight angle.
But there there was a sense of inevitability throughout the match that it would go the distance as neither team appeared to be prepared to take the risks that might bring a victory.
The big names - Ivory Coast's Yaya Toure and Bony, and Ghana's Ayew and Asamoah Gyan - failed to have a decisive influence on the game, which never really flowed.
Ivory Coast skipper Yaya Toure receives the Africa Cup of Nations trophy
Ghana coach Avram Grant consoles a distraught Andre Ayew
LINEUP, BOOKINGS (5) & SUBSTITUTIONS (6)
Ivory Coast
- 01 Barry Booked
- 21 Bailly Booked
- 04 K Touré
- 22 Kanon Booked
- 17 Aurier
- 20 Gonzaroua Die Booked
- 19 Y Touré
- 05 Tiéné Booked (Kalou - 116' )
- 15 Gradel (Doumbia - 67' )
- 12 Bony
- 10 Gervinho (Gadji-Celi Carmel Junior - 122' )
Substitutes
- 02 Diarrassouba
- 03 Assalé
- 06 Doukoure
- 07 Doumbia
- 08 Kalou
- 11 Gadji-Celi Carmel Junior
- 13 Akpa-Akpro
- 14 Diomande
- 16 Gbohouo
- 18 Traoré
- 23 Mandé
Ghana
- 01 Brimah
- 23 Afful
- 21 Boye
- 19 Mensah
- 17 Baba
- 06 Acquah
- 11 Wakaso
- 07 Atsu (Acheampong - 116' )
- 02 Appiah (J.Ayew - 99' )
- 10 A.Ayew
- 03 Gyan (Badu - 121' )
Substitutes
- 04 Gyimah
- 05 Awal
- 08 Badu
- 09 J.Ayew
- 12 Sowah
- 13 Rabiu
- 14 Asante
- 15 Otoo
- 16 Dauda
- 18 Amartey
- 20 Accam
- 22 Acheampong
REAL MADRID YAKIONA CHA MOTO
Viongozi wa ligi ya La Liga Real Madrid siku ya jumamosi waliona cha mtema kuni waliposakamwa mabao 4 bila jibu na wapinzani wao Atletico Madrid katika mechi ya Derby iliochezwa katika uwanja wa Vincente Calderon.
Real iliokuwa ikiuguza majeraha mengi ililazimika kutaja mabeki m'badala katika mechi yao ya ugenini.
Hatahivyo mabeki hao hawakuweza kuhimili kishindo cha mashambulizi ya mabingwa wa ligi Atletico Madrid.
Mabao ya haraka yaliofungwa na Tiago,Saul Niguez yaliiweka Atletico kifua mbele katika kipindi cha kwanza,kabla ya mabao mengine mawili yaliofungwa katika kipindi cha pili na Antoine Griezman na Mario Mandzukic kupiga msumari wa matumaini ya Real.
Baadaye wachezaji pamoja na mashabiki wa Atletico walisherehekea sana ushindi huo.
Marekani yakana madai ya IS
Katika taarifa ya Islamic State, mwanamke huyo alikuwa peke yake wakati ndege za Jordan ziliposhambulia nyumba moja nje ya mji wa Raqqa.
Lakini maafisa mjini Washington na Amman wanasema kuwa hakuna thibitisho la mauaji yake kando na picha za nyumba iliokuwa imeharibiwa na kuyataja madai ya Islamic State kama propaganda za kutaka kuugawanya muungano huo.
MKUTANO WAINJILI WAHITIMISHWA KWAKISHINDO
Huku wakihudhuria viongozi wa nchi Makamu wa rais Dk.Garbu Bilal, Waziri wa chakula Steven Wsira, Waziri wa mambo ndani na nje ya nchi Mh. Bernad Membe na viongozi mbalimbali wa dini kama shehe mkuu wa tanzania
02 Februari 2015
Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!
Lema alisema;
“Angalia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alikwenda kutangaza utalii nje ya nchi akiwa ameongozana na (mwigizaji maarufu wa filamu wa hapa Bongo) Anti Ezekiel,” alisema na kuongeza kuwa waziri huyo hashindi ofisini kwa kisingizio cha kutangaza utalii.
Picha za wawili hawa wakiwa nchini Marekani wakitangaza utalii zilisambaa sana mtandaoni mwaka jana na kizua stori nyingi juu kile kilichofanyika.
Picha : Waziri Nyalandu akiwana Aunty Ezekiel pamoja na DJ Luke (wakatikati) wakitangaza Utalii, New York, Marekani.
HAYAWIHAYAWI SASA YAMEKUWA
Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Bongomovies.com bado haijazithibitisha taarifa hizi.
Kama ni kweli, tunampongeza sana na kumtakia kila la kheri yeye pamoja na mwenza wake
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)