Katika taarifa ya Islamic State, mwanamke huyo alikuwa peke yake wakati ndege za Jordan ziliposhambulia nyumba moja nje ya mji wa Raqqa.
Lakini maafisa mjini Washington na Amman wanasema kuwa hakuna thibitisho la mauaji yake kando na picha za nyumba iliokuwa imeharibiwa na kuyataja madai ya Islamic State kama propaganda za kutaka kuugawanya muungano huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni