08 Februari 2015

Marekani yakana madai ya IS

Maafisa nchini Marekani wanasema kuwa hawana ushahidi wowote kuthibitisha madai kutoka kwa kundi la Islamic State kuwa mwanamke raia wa Marekani Kayla Mueller ambaye alikuwa akishikiliwa mateka na wanamgambo hao aliuawa kwenye mashambulizi ya ndege za kijeshi yaliyoendeshwa na Jordan nchini Syria.
Katika taarifa ya Islamic State, mwanamke huyo alikuwa peke yake wakati ndege za Jordan ziliposhambulia nyumba moja nje ya mji wa Raqqa.
Lakini maafisa mjini Washington na Amman wanasema kuwa hakuna thibitisho la mauaji yake kando na picha za nyumba iliokuwa imeharibiwa na kuyataja madai ya Islamic State kama propaganda za kutaka kuugawanya muungano huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728