11 Februari 2015

NJE YA NCHI


Umoja wa Mataifa unasitisha uungwaji wake mkono kwa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa kutoka Rwanda wa kundi la FDLR. Hatua hii inakuja baada ya Kongo kukataa kuwatimua majenerali wawili wanaoshukiwa kukiuka haki za binadamu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728