16 Februari 2015

BOKO HARAM

Marekani inasema inatafuta njia za kujihusisha zaidi katika vita dhidi ya kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria.
Naibu kamanda wa wanajeshi wa Marekani barani Afrika, luteni jenerali Stephen Hummer anasema tayari Marekani inashirikiana na Nigeria katika kutoa ripoti za ujasusi katika vita hivyo.
Kamanda huyo alikuwa akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya vikosi hivyo nchini Ujerumani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728