24 Februari 2018

Mwanamke anusurika kifo kwa kushambuliwa na samaki aina ya PAPA


Mwanamke mmoja nchini  Australia mwenye umri wa miaka 55 amenusurika kifo jioni ya jana February 23, 2018 baada ya kushambuliwa na papa wakati anaogelea baharini katika eneo la Sydney Kusini-Mashariki.
Inaaminika kuwa papa huyo alikuwa na urefu wa kati ya mita 2.7 hadi 3.2. Mwanamke huyo alikimbizwa hospitali ya St George kupatiwa matibabu ambapo alikuwa amejeruhiwa kwenye mguu wake wa kulia.
Wakazi mbalimbali wa eneo hilo waliliambia shirika la utangazaji nchini Australia la ABCkuwa tukio hilo limewashtua kwani halijatokea kipindi cha zaidi ya miaka 25 hivyo ni la ajabu.
Mwanamke huyo amefanyiwa upasuaji na afya yake imeanza kuimarika

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728